Genge ndani ya CCM lililotaka mapinduzi baridi ndani ya CCM kuelekea 2025 laanza kushughulikiwa

Genge ndani ya CCM lililotaka mapinduzi baridi ndani ya CCM kuelekea 2025 laanza kushughulikiwa

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
Hawa ndiyo wanasadikiwa kuwa ni wana CCM waliotaka kuachana na utamaduni wao wa 'miaka 10' aachiwe mwanaCCM aliyepo Ikulu aendelee 2025.

Vigogo wazito kama Spika Job Ndugai, waziri mzalendo namba 2 Prof. Palamagamba Kabudi, mchapa kazi asiyechoka William Lukuvi, mawaziri na wabunge kadhaa wenye ushawishi pamoja na baadhi wenyeviti wa mikoa wa CCM ambao hawakutajwa majina wakati wa mkutano wa Mh. Rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM kuwa wamevalia mashati ya kijani lakini wana lao jambo kuelekea 2025 kudhoofisha utamaduni na mazowea ya kutokuwa na tamaa ya urais mpaka mwenzao amalize miaka 10 madarakani.

Historia toka China kuhusu mwenyekiti Mao Tze Tung mwanahistoria wa ujamaa na mapinduzi Prof. Palamagamba Kabudi labda siku moja atatoa somo kama kawaida yake kuhusu hili :

The Gang of Four (simplified Chinese: 四人帮; traditional Chinese: 四人幫; pinyin: Sì rén bāng) was a Maoist political faction composed of four Communist Party of China (CPC) officials. They came to prominence during the Cultural Revolution (1966–1976) and were later charged with a series of treasonous crimes
 
Adi lukuvi wamekula kichwa, daa kweli wahuni si watu wema kabisaaas, alafu wamechaguana wao kuongoza nnchi
 
Tupumue kidogo.

Au tutarajie na mengine tena??
 
Hawa ndiyo wanasadikiwa kuwa ni wana CCM waliotaka kuachana na utamaduni wao wa 'miaka 10' aachiwe mwanaCCM aliyepo Ikulu aendelee 2025.

Vigogo wazito kama Spika Job Ndugai, waziri mzalendo namba 2 Prof. Palamagamba Kabudi, mchapa kazi asiyechoka William Lukuvi, mawaziri na wabunge kadhaa wenye ushawishi pamoja na baadhi wenyeviti wa mikoa wa CCM ambao hawakutajwa majina wakati wa mkutano wa Mh. Rais ambaye ni mwenyekiti wa CCM kuwa wamevalia mashati ya kijani lakini wana lao jambo kuelekea 2025 kudhoofisha utamaduni na mazowea ya kutokuwa na tamaa ya urais mpaka mwenzao amalize miaka 10 madarakani.

Ufumbuzi ilikuwa kuanza upya. Mzizi wa fitina, bwana katelefoni:

Kwa kutokuwepo Ujasiri wa Kujiuzulu, Uongozi ni Fursa
 
Toka maktaba:

5 January 2022
Dr. DENIS MUCHUNGUZI AANGAZIA KUHUSU BARAZA JIPYA, KENGE WALIZIDI KTK MSAFARA WA MAMBA KIASI KUWA IMEBIDI WAONDOLEWE



Source : KINGCHARZ TV
 
Toka maktaba:

5 January 2022
Dr. DENIS MUCHUNGUZI AANGAZIA KUHUSU BARAZA JIPYA, KENGE WALIZIDI KTK MSAFARA WA MAMBA KIASI KUWA IMEBIDI WAONDOLEWE



Source : KINGCHARZ TV


Ulikuwa msafara wa vyenge:

IMG_20210806_053407_437.jpg


😂😂

Hiiiiii bagosha!
 
08 January 2022
Dar es Salaam, Tanzania

Tanzania's President Samia Hassan drops ministers in cabinet reshuffle

President Samia Hassan carried out a small cabinet reshuffle on Sat 8th, 2022 dismissing four ministers:

  1. Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi
  2. William Vangimembe Lukuvi
  3. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
  4. Geoffrey Idelphonce Mwambe
Source : Global TV online
 
Tundu Lissu afichua Mafao ya Spika, Mawaziri wanapo tolewa katika utumishi wa umma

Pensheni
Kiunua mgongo
Kufungasha virago
N.k
Pia imefuchuliwa sheria hiyo ya mafao kwa kikundi kidogo cha viongozi wa juu imetungwa lini na kwanini imewalenga viongozi wa juu na siyo wafanyakazi wote wa umma
 
Wamekula kisu kikali sana., sasa kiroboto genge lako hili hapa leteni maneno yenu kumbe na speaker ndo alikuwa mastermind
 
08 January 2022
Dar es Salaam, Tanzania

Utashi wa Prof. Palamagamba Kabudi waitia serikali matatani ?

1.jpg


Prof. Palamagamba Kabudi

Swali kuu ni Je ? waziri wa Katiba na Sheria aliyeondolewa Prof. Palamagamba Kabudi alishindwa kuona mapungufu ktk mashtaka ya kesi Namba 16 ya mwaka 2021 inayomtuhumu mwenyekiti wa Chadema Taifa Mh. Freeman Aikael Mbowe na walinzi wake 3 kuwa haina manufaa kwa taifa na kushindwa kumshauri vilivyo Mh. Rais kiasi ya kuwa imekuwa ni jinamizi linaloishafua awamu ya 6 ya uongozi ?


Mbowe mwenye miaka 59 amezuiliwa na polisi tangu Julai 21, 2021 alipokamatwa pamoja na maafisa wengine wa Chadema saa chache kabla kufanya mkutano wa hadhara kushinikiza mabadiliko ya katiba.

Na baadaye Freeman Mbowe na wenzie 3 ambao ni walinzi wake kufunguliwa mashtaka katika Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, Tanzania. Kesi hiyo inafuatiliwa sana ndani ya nchi na pia nje ya nchi kiasi cha kuwa jumuiya za kimataifa pia zinaifualitia kesi hiyo kwa karibu huku wadau wengine wa kimataifa wakidai kesi hiyo ifutwe bila masharti yoyote ama sivyo vikwazo vya kimataifa vinaweza kuwekwa dhidi ya viongozi wa serikali ya awamu ya 6.
 
Mlolongo wa madai ya kumpotosha rais ulianzia awamu ya 5

TOKA MAKTABA :

15 May 2019
Waziri Kabudi amempotosha Rais: Wabunge



Jinamizi la korosho landelea kumsaka Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof Palamagamba Kabudi, wabunge wamtaka ajiuzuru kwa kumpotosha Rais Magufuli.
 
TOKA MAKTABA :

16 November 2020

MAGUFULI 'AMCHANA' KABUDI "WEWE HUWEZI KUWA RAIS, INAUMWA LAKINI NAWAAMBIA UKWELI NA LUKUVI"



Source : millard ayo
 
Kile chama cha umoja paty bado hakijapata usajiri wa kudumu?

Hawa waaweza kujiunga na chama chochote kama watakuwa wameonewa.
 
“Keep your friends close and your enemies closer” means that whilst ... written by Mario Puzo and Francis Ford Coppola

Hatimaye ule msemo wa wale wahenga wetu kuwa ........ usiwatupe waweke karibu nawe ....

RAIS SAMIA: ''LUKUVI HATOGOMBEA USPIKA, KABUDI HAWA NI KAKA ZANGU NITAWAPA KAZI MAALUM IKULU''




“Keep your friends close and your enemies closer”​

friends1.jpg
 
Hatimaye ule msemo wa wale wahenga wetu kuwa ........ usiwatupe waweke karibu naye ....

RAIS SAMIA: ''LUKUVI HATOGOMBEA USPIKA, KABUDI HAWA NI KAKA ZANGU NITAWAPA KAZI MAALUM IKULU''

[emoji23][emoji23][emoji23]Machadema jikiteni tu kumpigania gaidi!

Mambo ya ccm yatawaumiza bure tu
 
Back
Top Bottom