- Thread starter
- #21
Hatimaye ule msemo wa wale wahenga wetu kuwa ........ usiwatupe waweke karibu nawe ....
RAIS SAMIA: ''LUKUVI HATOGOMBEA USPIKA, KABUDI HAWA NI KAKA ZANGU NITAWAPA KAZI MAALUM IKULU''
“Keep your friends close and your enemies closer”
![]()
Hapa hawa wazee wawili wametiwa katika "jela ya wazi" ya kisiasa isiyo zungukwa na ukuta wa ngome au bwana-jela
- Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi
- William Vangimembe Lukuvi