Genge ndani ya CCM lililotaka mapinduzi baridi ndani ya CCM kuelekea 2025 laanza kushughulikiwa

Genge ndani ya CCM lililotaka mapinduzi baridi ndani ya CCM kuelekea 2025 laanza kushughulikiwa

Hatimaye ule msemo wa wale wahenga wetu kuwa ........ usiwatupe waweke karibu nawe ....

RAIS SAMIA: ''LUKUVI HATOGOMBEA USPIKA, KABUDI HAWA NI KAKA ZANGU NITAWAPA KAZI MAALUM IKULU''




“Keep your friends close and your enemies closer”​

friends1.jpg


Hapa hawa wazee wawili wametiwa katika "jela ya wazi" ya kisiasa isiyo zungukwa na ukuta wa ngome au bwana-jela
  1. Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi
  2. William Vangimembe Lukuvi
tayari wamesha dhibitiwa kwa kupewa kazi maalum ili wasilete tabu 2025. Mbunge kupewa kazi maalum wakati ana majukumu ya kisiasa jimboni alipochaguliwa na wananchi wake , kikatiba siyo sawa mbunge hapaswi kuwa mjumbe wa bodi za mashirika wale kuwa na kazi nyingine ya kuteuliwa na rais zaidi ya uwaziri au unaibu waziri.
 
Back
Top Bottom