Genge ndani ya CCM lililotaka mapinduzi baridi ndani ya CCM kuelekea 2025 laanza kushughulikiwa


Hapa hawa wazee wawili wametiwa katika "jela ya wazi" ya kisiasa isiyo zungukwa na ukuta wa ngome au bwana-jela
  1. Prof. Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi
  2. William Vangimembe Lukuvi
tayari wamesha dhibitiwa kwa kupewa kazi maalum ili wasilete tabu 2025. Mbunge kupewa kazi maalum wakati ana majukumu ya kisiasa jimboni alipochaguliwa na wananchi wake , kikatiba siyo sawa mbunge hapaswi kuwa mjumbe wa bodi za mashirika wale kuwa na kazi nyingine ya kuteuliwa na rais zaidi ya uwaziri au unaibu waziri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…