Tetesi: Genious wa kiafrika Ulaya hufanywa machizi kwa kuchomwa sindano wakibainika

List ni ndefu unamkumbuka Mobutu Ssesesseko wa Zagamba?
Kuku ngwendu wazabanga hayo yote madhara ya vibaraka wa westerners baada ya kujulikana blood diamonds wamarekani wakawa uchi na kumtosa savimbi.Mobutu alikuwa na ikulu ikiitwa badolite kijijini kwake sio mchezo.
 
Yaah viongozi wetu wa africa wamesoma chuo kimoja na lecturer mmoja ndo maana unakuta nchi nyingi za africa matatizo yetu yanafanana kuna kitu kinaitwa ubinafsi nadhani viongozi wetu sio tu wabinafsi isipokuwa walafi sijui kama(greedy)linafika hapa wanajijali na wale wanao wazunguuka kile kitu keki ya taifa iliwe na wote ni msamiati mgumu kwao.
 
Ukikutana na mtu anawashobokea wazungu na kama mpo wawili tuu angalia kushoto kisha kulia kama hakuna anayekutazama mpe cha kati fasta
Sio mchezo kuna kitabu kinaitwa the hit man humo utajua ubazazi wa USA jinsi walivyokuwa wanawalaghai watu na kuingia nao mikataba ya kijuha all over the world.
 
Kiboko ya wazungu afrika kabaki mmoja tu...Comrade Bob Mugabe,wengine wote ni kulialia na kuombaomba tu
 
Unajua haya mambo yanatia mno hasira
Ni jambo la kujiuliza wapi walienda na kufanya jambo bila kuweka maslahi yao mbele?kumbuka 92 Somalia mambo yaliwashinda kipindi cha farah wakaiona mogadishu chungu wakaupaka.the hit men inazungzia walivyokuwa wanaingia mikataba hiyo hasa mambo ya hydro electric power utahisi hasira.
 
These white mutton...these white pigs
 
Hii kitu inawezekana kuwa na ukweli ndugu. Kuna mambo mengi sana yamekuwa yakiendelea chini ya kapeti. Waafrika wengi waliokuwa sehemu nyeti huwa wanakuwa na ulinzi na udumanzi wa hali ya juu. Kuna jamaa wako NASA..kuna watu wako NSA ..kuna watu wako sehemu nyeti lakini huwezi kupata taarifa zao kwenye mtandao.

So haya yote yanawezekana kabisa. Kuna mtu mmoja nilikutana nae Israel alizungumzia suala la NDUI mpaka nikasisimka na kuishiwa nguvu. Kama kuna watu humu wa miaka ya nyuma wanakumbuka zile buluga zilikuwa zinatoka US of A. Mambo mengi ni Twilight Zone.
 
Haya ni mambo ya psychopolitics aliyokuwa anayazungumza Beria wa KGB.
 
Maziwa flan hivi duh umenikumbusha mbaliiiii.Huwa napata kigugumizi USA wana madeni kama mataifa mengine kuna watu wao huko huko wanaishi maisha ya shida hiyo guts ya kuja kutupa msaada huku wanatoa wapi kama sio maslahi mbele!
 
Siku zote A Whiteman needs to downsize the blackman every where and forever stay away from them
 
Strong ruler kweli ila hiyo avatar yako alikwenda na maji kijana bado mbichi alipachikwa nickname ya cheguivara wa afrika rafiki yake ndo alimuua na kutawala Burkina Faso.
Wee mjinga Una nn na umefanya nn mpaka Wakufanyie hzo down kill @ Strong Ruler.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…