Genius Hayati Magufuli Hakuongeza Mshahara ila Maisha yaliendana na Kipato

Wekeni na Bei za utawala wa kikwete . Hakuna bidhaa ambayo enzi za JPM ilishuka Bei ukilinganisha na utawala wa kikwete
Hata km zilipanda sio kwa kiwango Cha Sasa,swali mbona wao wanaongezeana posho?!!!
Why us huku chini?
Mchele tumennua mpk 1100 Bei y jumla enzi za Magu(Mimi nilikua nauza mchele )nimeacha baada ya huyu ni tozo na vitu kupanda
 
Tatizo mama anampiga vijembe mtanguliza wake kila kukicha, wakati JPM ndiye aliyemtoa huko uswekeni. Kama vile Nape na Makamba wanavyo mnanga JPM.
Kama JPM alivyompiga vijembe JK wakati enzi za JPM ulitokea mfumuko wa Bei wa kufa mtu Hadi Sasa unaendelea tu kupanda
 
Wekeni bei za bidhaa ambazo wakati wa KIKWETE zilikuwa juu na alipoingia MAGUFULI zikapungua bei yake. Wekeni bidhaa hata 5 tu.

Mkizipata niiteni MBWA.

Mimi naanza na moja viwanja.

Mbili kodi za nyumba za kuishi Dar

Tatu vyakula hasa nafaka

Nne pay tv kama dstv subscription fee

Tano kodi za fremu za biashara
 
Wengi hawatalielewa bandiko lako.
 
Kwan toka maza kaingia kafanya kipi cha maana??
Royo tuwa,
Tozo
Tunaaminika na tunakopa kwa kwenda mbele,
kafungua nchi, Kaaodoa kero ya machinga mijini,
Kuachiwa wauza ngada walioonewa na mwenda zake
Kuwaondoa Masai loliondo kwa maslah mapana yawanyama wetu, Bandari ya Bagamoyo,
Wazazi kuendelea na shule.
Bwawa la umeme la Stiglaz Goji mchakato unaendelea
No umeme wa Rea.
Bunge live.
Chanjo ya covid,
Wakulima soko huru, Pembejeo soko huru
, kapandisha Watumishi madaraja na mishahara juu. Nk nk... Ni mengi sana siwezi kumaliza.
Mama anaupiga mwingi!
 
The best leader ever was Mkapa..

Sent from my itel W5001P using JamiiForums mobile app
 
Angalau sasa mtu unaweza kusema maisha ni magumu na ukawa huru, enzi za Mzee alishawahi kuagiza wakamatwe wanasema vyuma vimekaza na ikawa hivyo. Wote tukakaa kimya na walijidai jeuri wakakiona cha mtema kuni.
 
JPM hakuruhusu wezi na mafisadi kujichotea pesa , lakini yeye ndo akaamua kukomba zile trillion 1.5 ufisadi wa kufuru kabisa
Hilo hamna ambaye amewahi kulidhibitisha humu, inabaki kuwa maneno ya kwenye kanga tu. Tumia Logic ya kawaida tu.

Watu 1O wakidokoa million 5OO kwa ujumla na watu 5OO wakidokoa million 1O kila mmoja hasara inakuwa ni wapi zaidi? Do the Math!!!

Unabariki ufisadi which means kila mtu aibe katika eneo lake. Kuna wafanyakazi wangapi katika hii nchi? Kuna maendeleo yapi yaliwahi kupatikana kwa style hii. Haya after effects ndio hizo sasa kila mtu ana ndevu sasa kama kambale bidhaa hazishikiki sokoni. Mkurugenzi mpaka level ya Waziri wote wakiwa wadokozi kuna nini tena.
 
Mimi naanza na moja viwanja.

Mbili kodi za nyumba za kuishi Dar

Tatu vyakula hasa nafaka

Nne pay tv kama dstv subscription fee

Tano kodi za fremu za biashara
Hahahahahahah bila kusahau bidhaa muhimu inayoitwa utu na heshima baina ya raia. Hii bidhaa ilikuwa ya bei sana ila ilishuka kipindi cha mwamba
 
Jpm alikuwa the worst president ever
 
Mkikamatwa na kwenda kuliwa ndogo mnakuja kulalamika kuwa serikali inaonea raia wake mara sijui watu wasiojulikana. ..ona mashudu, matusi na dhihaka ulizoandika juu ya Rais wa nchi!

Hata kama hukubaliani nae basi kuwa na staha kwenye uandishi wako...shubaamiti
 
Magufuli alisuka mipango ya mauaji ya wakosoajin wake.. alikata moto gafla baada ya kugundua amekwama kwenye uchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…