Genius: Ushauri wa simoni Patrick Ili kukuza soka la Tanzania

Tatua matatizo ya uchumi na elimu, mengine yatakaa sawa.

Ukiwa na uchumi mzuri, elimu nzuri, hayo matatizo yataondoka tu.

Bila ya kutatua hayo, hata hizo ruzuku za serikali utazipatia wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…