Wanaume 99%ni wachepukajiHahaa shikamoo ngoshaz
C.c MBITIYAZA
Binamu hakunaga cha mtu kuchepuka na kukuheshimu, hiyo heshima ndo ya aina gani? Na hata huyo ambaye leo amekuwa a serial unrepentant cheater na yeye alianza na hiyo "kuchepuka kwa heshima". Heshima ya mwenzi wako kwako ni pale ambapo haupo naye na still anakulindia heshima yako
Wanaume wana vurugu sana my dearrUMEMALIZA YOTE ! na kale kamsemo mwanamke mjinga' kananiudhiiiiiiiiii !
ulikuwa unakanyemelea mkuu?[emoji6][emoji6][emoji6]Duh haka kabinti kameondoka na utamu wake..🙂🙂😉
Hakika binamuhahaah majangaz! Heaven Sent atleast asikuoneshee mamy !tutakuwa tunajidanganya sana km tunahis kuna wanaume wanaotulindia heshima kwa kizaz hiki cha mapunguwan! hapana nioneshe heshima TU!
Life is too short to complicateKumbe umeenda age, ingawa mkiwa huku jf mnachati kama teenagers
Uko sahihi binamu nimeambulia presha nzuri tuNdo heshima ya aina gani kwa mfano? Na unahisi hiyo heshima itakuwepo for the rest of his cheating life? Itafika tu stage asipokuonesha live basi utaiona utakapoanza umwa magonjwa yasiyotibika au siku utakapoletewa watoto wa nje. Afanye sirini au afanye wazi, you will suffer the consequences of his infidelity. As long as umeshabariki kuchepuka kwake basi kubaliana tu na package yote utakayoletewa na jitahidi uanzage dawa za presha in advance.
Aisee basi me wangu yupo kwenye hiyo 1%. Usinikumbushe mama Mchungaji divine, amesema tukatae kuwa na ndoa za kigroup. Amini your man is a different and special case na itakuwa sawasawa na imani yako. Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. .....Wanaume 99%ni wachepukaji
Kuna mwingine anachepuka ila hata kuhis tu hauhis na ukiambiwa huamini ila kuna wengine ndo hao mpk ndani kwako hyo inaumiza sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly binamu nna tabia ya kuamini mtu 100%Aisee basi me wangu yupo kwenye hiyo 1%. Usinikumbushe mama Mchungaji divine, amesema tukatae kuwa na ndoa za kigroup. Amini your man is a different case na itakuwa sawasawa na imani yako. Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. .....
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kufa hufi cha moto unakiona vzr tukwa maisha hayo ya kuniambia kweupe sikutak sidhan km moyo utakuuma ! ulijitambua mapemaaa!
mie sitakufa kihoro !llabda nife kwa mengineyo!\
hapana bado ni wa thamani sana ! kila la heri kwenye ndoa mpya
Ni kweli Heaven. Mume mtarajiwa hana mke.Bado Geni ni 30 yrs. Watoto 2. Mume mpya atahitaji watoto.Haha ipogolo hili swali naona unaliuliza mara ya 3 sijui.
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Em niulizie kama anakodisha hiyo nyota jamani mweeh
Walaaa...basi tu si unajua member ukimzoea. Atakuwa kabadili ID anatuchora...na wewe unajua ID yake mpya.ulikuwa unakanyemelea mkuu?[emoji6][emoji6][emoji6]
No justification on cheating bro!Akipenda kuchepuka huwezi zuia. Wanaume kuchepuka inatokana na vitu vingi.
Sawa mkuu
Not me!him I fought for my marriage day and night u don't know I was going through binti mdogo at the age of 27 nakumbana na changamoto kubwaa za kindoa I wish my mom would be there may be tungesurvive!!Geni ! Kwa shida na raha. Alichokiunganisha Mungu nyie mmevunja ahadi.
Ungevumilia yangeisha. Hata huko uendako kuna karaha zake.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kufa hufi cha moto unakiona vzr tu
Kupenda ni ugonjwa mbaya sana my dear
Sent using Jamii Forums mobile app
No justification!! Mfunze mkeo na mvumilieTunachepuka kupitia kwenu.
Watoto wawiliGeni! Umeacha watoto wangapi kwenye ndoa yako ya awali?
Mchumba wako mpya ana watoto?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] daah!house gal ni km mtoto wetuHouse girl naye ni mwanamke kama wewe.
Anacho tunachokihitaji most.