Geniveros interview on muosha rungu live show!

Geniveros interview on muosha rungu live show!

Hahaa shikamoo ngoshaz
C.c MBITIYAZA

Binamu hakunaga cha mtu kuchepuka na kukuheshimu, hiyo heshima ndo ya aina gani? Na hata huyo ambaye leo amekuwa a serial unrepentant cheater na yeye alianza na hiyo "kuchepuka kwa heshima". Heshima ya mwenzi wako kwako ni pale ambapo haupo naye na still anakulindia heshima yako
Wanaume 99%ni wachepukaji
Kuna mwingine anachepuka ila hata kuhis tu hauhis na ukiambiwa huamini ila kuna wengine ndo hao mpk ndani kwako hyo inaumiza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo heshima ya aina gani kwa mfano? Na unahisi hiyo heshima itakuwepo for the rest of his cheating life? Itafika tu stage asipokuonesha live basi utaiona utakapoanza umwa magonjwa yasiyotibika au siku utakapoletewa watoto wa nje. Afanye sirini au afanye wazi, you will suffer the consequences of his infidelity. As long as umeshabariki kuchepuka kwake basi kubaliana tu na package yote utakayoletewa na jitahidi uanzage dawa za presha in advance.
Uko sahihi binamu nimeambulia presha nzuri tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume 99%ni wachepukaji
Kuna mwingine anachepuka ila hata kuhis tu hauhis na ukiambiwa huamini ila kuna wengine ndo hao mpk ndani kwako hyo inaumiza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee basi me wangu yupo kwenye hiyo 1%. Usinikumbushe mama Mchungaji divine, amesema tukatae kuwa na ndoa za kigroup. Amini your man is a different and special case na itakuwa sawasawa na imani yako. Aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. .....
 
kwa maisha hayo ya kuniambia kweupe sikutak sidhan km moyo utakuuma ! ulijitambua mapemaaa!
mie sitakufa kihoro !llabda nife kwa mengineyo!\
hapana bado ni wa thamani sana ! kila la heri kwenye ndoa mpya
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kufa hufi cha moto unakiona vzr tu
Kupenda ni ugonjwa mbaya sana my dear

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha ipogolo hili swali naona unaliuliza mara ya 3 sijui.
Ni kweli Heaven. Mume mtarajiwa hana mke.Bado Geni ni 30 yrs. Watoto 2. Mume mpya atahitaji watoto.
Amejipangaje kuhandle situation hiyo?
Mzazi mwenxiye akitaka kuwaona wanawe atamwambiaje mume mpya?
 
Geni ! Kwa shida na raha. Alichokiunganisha Mungu nyie mmevunja ahadi.
Ungevumilia yangeisha. Hata huko uendako kuna karaha zake.
Not me!him I fought for my marriage day and night u don't know I was going through binti mdogo at the age of 27 nakumbana na changamoto kubwaa za kindoa I wish my mom would be there may be tungesurvive!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom