Geniveros interview on muosha rungu live show!

Geniveros interview on muosha rungu live show!

0aa3447e7d761ae9da7346dd9a33efd6.jpg

Hiki ndicho Nilichokimaanisha,kabla ya kuwa mkaidi jitahidi angalau ujue mengi
Nisingekua najua hayo mengi wadhan ningeuliza basi, kuna zaid ya hapa ndio maana nikauliza, we unajua hapa tu
 
Nisingekua najua hayo mengi wadhan ningeuliza basi, kuna zaid ya hapa ndio maana nikauliza, we unajua hapa tu
Najua na huko unakomaanisha na ndio maana nikakuambia ninachomaanisha Mimi. Unataka nikubali nilimaanisha Huyo porn star wako???
Wewe sio wa kwanza kuuliza,na ndio maana nikakujibu vile. But unajaribu Ku force unachokihisi weww. Basi changanya yote,yangu na ya kwako jibu liwe sawa,full stop.
 
Teh teh...Ndo Mana hizi interview si wengine zitupitage tu...Mana bila kudanganya hatujisikii raha..Wewe labda nikufanyie interview mimi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We hapana maana nikidanganya utanishushua, hivyo itabidi niseme tu ukweli, of which ni ngumu mno.
 
Najua na huko unakomaanisha na ndio maana nikakuambia ninachomaanisha Mimi. Unataka nikubali nilimaanisha Huyo porn star wako???
Wewe sio wa kwanza kuuliza,na ndio maana nikakujibu vile. But unajaribu Ku force unachokihisi weww. Basi changanya yote,yangu na ya kwako jibu liwe sawa,full stop.
Hi mpenzi, kinaendelea nini kuleeee!
 
Hahaa shikamoo ngoshaz
C.c MBITIYAZA

Binamu hakunaga cha mtu kuchepuka na kukuheshimu, hiyo heshima ndo ya aina gani? Na hata huyo ambaye leo amekuwa a serial unrepentant cheater na yeye alianza na hiyo "kuchepuka kwa heshima". Heshima ya mwenzi wako kwako ni pale ambapo haupo naye na still anakulindia heshima yako
Douta naomba unikumbuke kwenye maombi pepo la tamaa linikimbie..Maneno yako yanachoma
 
Back
Top Bottom