Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh...Kwani hajakuuliza "Kibamia au Muogo"????..Au ulitaka maswali yapi Mamie?Ni nzuri
Ushauri aongeze ufanisi kwenye maswali kuna mengi niliyategemea sikuulizwa haya mepes mnooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisingekua najua hayo mengi wadhan ningeuliza basi, kuna zaid ya hapa ndio maana nikauliza, we unajua hapa tu![]()
Hiki ndicho Nilichokimaanisha,kabla ya kuwa mkaidi jitahidi angalau ujue mengi
Teh teh...Ndo Mana hizi interview si wengine zitupitage tu...Mana bila kudanganya hatujisikii raha..Wewe labda nikufanyie interview mimiWe siskip kitu, hata jepesi nadanganya tu.
Najua na huko unakomaanisha na ndio maana nikakuambia ninachomaanisha Mimi. Unataka nikubali nilimaanisha Huyo porn star wako???Nisingekua najua hayo mengi wadhan ningeuliza basi, kuna zaid ya hapa ndio maana nikauliza, we unajua hapa tu
Mimi niliiweka tu hyo avatar nlijukuta tu nimeipenda hyo!Hata dude huamshwa tena! Kwanini ulichagua avatar ya lips
Je inabeba hisia zako za moyoni
DJ sepetu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] yaani we were!Hahahaaaaa! Ni vile namuheshimu sana kiwatengu, nisingefanya hata!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Teh teh...Ndo Mana hizi interview si wengine zitupitage tu...Mana bila kudanganya hatujisikii raha..Wewe labda nikufanyie interview mimi
Kaniuliza mbonaa!Teh teh...Kwani hajakuuliza "Kibamia au Muogo"????..Au ulitaka maswali yapi Mamie?
Hi mpenzi, kinaendelea nini kuleeee!Najua na huko unakomaanisha na ndio maana nikakuambia ninachomaanisha Mimi. Unataka nikubali nilimaanisha Huyo porn star wako???
Wewe sio wa kwanza kuuliza,na ndio maana nikakujibu vile. But unajaribu Ku force unachokihisi weww. Basi changanya yote,yangu na ya kwako jibu liwe sawa,full stop.
Utamuwekaje tembo ktk fridgeMimi niliiweka tu hyo avatar nlijukuta tu nimeipenda hyo!
Haijabeba chochote
Sent using Jamii Forums mobile app
Douta naomba unikumbuke kwenye maombi pepo la tamaa linikimbie..Maneno yako yanachomaHahaa shikamoo ngoshaz
C.c MBITIYAZA
Binamu hakunaga cha mtu kuchepuka na kukuheshimu, hiyo heshima ndo ya aina gani? Na hata huyo ambaye leo amekuwa a serial unrepentant cheater na yeye alianza na hiyo "kuchepuka kwa heshima". Heshima ya mwenzi wako kwako ni pale ambapo haupo naye na still anakulindia heshima yako
Yakuchome tu ili upone. Bi mkubwa atakuombeaDouta naomba unikumbuke kwenye maombi pepo la tamaa linikimbie..Maneno yako yanachoma
Nimeona..Muosha Rungu bila hilo swali basi intavyuu haijaisha
Yani wewe na baba watoto wako mko sawa..Basi mkanye na mwanao siku hasije akajiachia mpaka akatoa siri za familia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We hapana maana nikidanganya utanishushua, hivyo itabidi niseme tu ukweli, of which ni ngumu mno.
Bi mkubwaa!!!!...Tangu lini shetani akakemea mapepo??Yakuchome tu ili upone. Bi mkubwa atakuombea
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Utamuwekaje tembo ktk fridge
DJ sepetu
Haha c.c espyBi mkubwaa!!!!...Tangu lini shetani akakemea mapepo??
[emoji1] [emoji1] [emoji1] la msingi hilooNimeona..Muosha Rungu bila hilo swali basi intavyuu haijaisha