Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Nilicheat na wewe au umesahau?[emoji1] [emoji6] [emoji6]Yani nimesoma posts zote ila hii imeniumiza roho sana...
Kwanini ulinicheat lakini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilicheat na wewe au umesahau?[emoji1] [emoji6] [emoji6]Yani nimesoma posts zote ila hii imeniumiza roho sana...
Kwanini ulinicheat lakini?
Hivi kumbe? Mbona hukunambia?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] si umenikimbia sa hv tena waniona kizeeHivi kumbe? Mbona hukunambia?
Basi fanya hima tucheat tena. Maana hatukucheat vizuri ujue...
Usifanye hivo bhana... mi na wewe hatujafahamiana gengeni[emoji1] [emoji1] [emoji1] si umenikimbia sa hv tena waniona kizee
Sent using Jamii Forums mobile app
We s umenikimbia sasa ntakuona wapi tenaUsifanye hivo bhana... mi na wewe hatujafahamiana gengeni
Si palepale pa siku ile?
Tukitoka pale utanikimbia weye tena[emoji6] [emoji6] [emoji19]Si palepale pa siku ile?
Ayaaa... hapa naona ishakula kwangu mazima
Kumbe je?pambana na hali yako tu!!Ayaaa... hapa naona ishakula kwangu mazima
Ayaaa jamani...
[emoji19] [emoji6] [emoji1] [emoji1] [emoji6] [emoji6] [emoji6] nini?!Ayaaa jamani...
Roho imeniuma[emoji19] [emoji6] [emoji1] [emoji1] [emoji6] [emoji6] [emoji6] nini?!
Sent using Jamii Forums mobile app
Moyo nimeuachia kazi ya kusukuma damu
Hahaha....Moyo nimeuachia kazi ya kusukuma damu
Sasa pambana na kiherehere hicho[emoji6] [emoji6] [emoji6] cha kutaka kunisumbuaMoyo nimeuachia kazi ya kusukuma damu
Hapana hatuna undugu[emoji6]Halafu sijui kwa nini siku zote nakiwa nakufananisha na everlenk nahisi mna undugu hivi eenh