Natokea Kanda Maalum
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 749
- 1,310
Shinyanga sehem gani?Okay nimezaliwa miaka 30 iliyopita Mhimbili DSM nimeishi Dar nimekulia Dar,Shinyanga kidogo,Dodoma na Simiyu(Maswa)
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni mwanaume mkuu!
Labda uliegemea upendo kwa watoto ukamsahau!Am sorry sitasema ili kuepusha maswali mengine but their some people here know wapi nilipokua mwanzo na sasa
Vitimbi vilianza baada ya kupata second child!
Sent using Jamii Forums mobile app
Labda uliegemea upendo kwa watoto ukamsahau!
Au ulikuwa Na usafi duni
Au alitaka kuoa mke Wa pili ukagoma!
Lipi sahihi zaidi
DJ sepetu
Hahaha, basi endelea kuamini ni mwanamke!Nonesense
DJ sepetu
Mnaudhi watu mnaokoment tu si msubirie mtauliza maswali mwishonii
Hahaha hahaha hahahamna jema kwan nyie (mxiew)
We kumbe ni mkorofi hvyo...embu nitafute nikuchapeHahaha, basi endelea kuamini ni mwanamke!
brain is the beautiful part of the body.
Kati ya hayo hamna jibu hapo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Labda uliegemea upendo kwa watoto ukamsahau!
Au ulikuwa Na usafi duni
Au alitaka kuoa mke Wa pili ukagoma!
Lipi sahihi zaidi
DJ sepetu
Interview hii haina lolote ndo maana wanachangiaMnaudhi watu mnaokoment tu si msubirie mtauliza maswali mwishonii
Kwani ulimkuta maskini nyota yako ikamtajirisha!Kati ya hayo hamna jibu hapo[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kubwa fedha zilikua zinamchanganya ndo maana naweza sema hivyo!
Maana baada ya kuongezeka kipato ndo akawa anaanza mazingaombwe hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehe kumbe ndo lengo lako la kuanzisha hizi nyuzi ee? Hongera mkuu!Samahan mkuu subiri uanzishe Uzi uulize jinsia yake
DJ sepetu
Achana nae ktk msafara wa mamba kenge wamoSamahan mkuu subiri uanzishe Uzi uulize jinsia yake
DJ sepetu
Hutaki tuulize maswali?Mnaudhi watu mnaokoment tu si msubirie mtauliza maswali mwishonii