Huwa nikisoma maandiko yako naona feeling zako kuhusu wanaume na cheating ambapo huna imani hata na Papa wa romaLabda nimejitenda mwenyewe teh
Haha mwenzangu maana kila nikiangalia maana ya heshima, ni tofauti na hiyo ya kwenu. Hiyo tafsiri yake ndo ipo kwenye dictionary ipi?Yaani umenichekesha pale eti definition yenu mpya ya heshima, khaaa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unacheka badala ya kuamkia!!!Haaaaaa[emoji6] [emoji6] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
I DETEST CHEATING, sijui hata nisemaje aiseeHuwa nikisoma maandiko yako naona feeling zako kuhusu wanaume na cheating ambapo huna imani hata na Papa wa roma
[emoji1] [emoji1] [emoji1] sisemi tulipokutanaMchumba wako Wa sasa mlikutana vipi
Kwa namna gani umehakikksha haurudii makosa
DJ sepetu
Jiandae kupata watoto wengine si chini ya Wawili huko uendako.Ninao mwenyewe siwezi muachia mtoto wangu mwanaume
Hana mtoto hata mmoja!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hicho kifungu inabidi wachungaji waanze kukifundisha upya vyema kabisa na wawaeleweshe watu maana yake, maana ndoa nyingi zimevunjika ila watu wanaishi pamoja.Mmmh wewe si ndo unasema Unachepuka kwa heshima? Ukija kuachwa ndo uje utuletee vifungu "alichokiunganisha Mungu". Mungu alikwambia nyie wawili mtakuwa mwili mmoja au aliwaambia nyie wawili na wengine mtakaowaleta mtakuwa mwili na nusu? Huyu ameondoka tu physically, the day her husband slept with another woman ndo officially ndoa yao ilivunjika spiritually. Kinachowaunganisha mke na mume ni kukaa nyumba moja au? Lile agano lenu mbele ya Mungu na wanadamu ndo mlihehimu, kama utashindwa kuliheshimu then hakuna ndoa hapo, ni roommates tu mnaishi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] shikamoo dadaUnacheka badala ya kuamkia!!!
Ni kwa namna gani unakabiliana Na u single mother[emoji1] [emoji1] [emoji1] sisemi tulipokutana
Hakuna mkamilifu duniani kikubwa heshima
Sent using Jamii Forums mobile app
Role models wenu mnapotetea uzinzi eti!!! Hebu nielezee mwisho wao pia ulikuwaje?Mfalme Daud, Ibrahim( Abraham)
Sijui kwanini nimehisi tu!! [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85][emoji1] [emoji1] [emoji1] sisemi tulipokutana
Hakuna mkamilifu duniani kikubwa heshima
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshangaa hajatajwa suleiman leoRole models wenu mnapotetea uzinzi eti!!! Hebu nielezee mwisho wao pia ulikuwaje?
Marahabaaa mdogo wangu.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] shikamoo dada
Sent using Jamii Forums mobile app
Na nyie mnacheat kama hamna akili nzuri nowadays ingawa wanaume tumetulizanaMmmh wewe si ndo unasema Unachepuka kwa heshima? Ukija kuachwa ndo uje utuletee vifungu "alichokiunganisha Mungu". Mungu alikwambia nyie wawili mtakuwa mwili mmoja au aliwaambia nyie wawili na wengine mtakaowaleta mtakuwa mwili na nusu? Huyu ameondoka tu physically, the day her husband slept with another woman ndo officially ndoa yao ilivunjika spiritually. Kinachowaunganisha mke na mume ni kukaa nyumba moja au? Lile agano lenu mbele ya Mungu na wanadamu ndo mlihehimu, kama utashindwa kuliheshimu then hakuna ndoa hapo, ni roommates tu mnaishi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hehehe hhehehe mlikutana wapiiiiii
I hope hiyo heshima unayoiongelea sio hii heshima new version
Kabisa, tena ikiwezekana watu wakaage tu na open relationships. Maana kusumbua tu Wachungaji kufungisha ndoa huku mtu anajua kabisa ataishi na wanawake 10Hicho kifungu inabidi wachungaji waanze kukifundisha upya vyema kabisa na wawaeleweshe watu maana yake, maana ndoa nyingi zimevunjika ila watu wanaishi pamoja.
Hahaaaa! Nilitaka nimkumbushie na huyo, labda yeye hakuwa na heshima.Nimeshangaa hajatajwa suleiman leo
Any human being yupo hivyo si wewe tuI DETEST CHEATING, sijui hata nisemaje aisee
Kutesa kwa zamu, mtulie hivyo hivyo.Na nyie mnacheat kama hamna akili nzuri nowadays ingawa wanaume tumetulizana