Bengazuu
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 1,029
- 1,236
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Secondary...!!
Ualimu ni kazi kama kazi nyingine
Naweza sema mfumo wa serikali ndo umefanya hii kazi idharaulike kwa watu wengi
Hakuna kazi ngumu kama kudeal na binadamu
Tatizo ni system tu!hamna cha zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app