GENTA ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JF

Haaaaa...

Umejitengenezea id nyingine ya kujishobokea...
 
Mkuu kulikoni tena, uzi uanzishe wewe na kufuta uombe wewe.Aaaah brazaaa
 
Sasa wanapewa tuzo gani mbona haijasemwa ndio hiyo ya kutongoza uliyosema? Kwahiyo wamekutongoza vizuri ukakubali ndio utawapa hiyo kama tuzo
Swali : umewaona wapi?
 
Mshana Jr hana hii akili ya kipumbavu ya kufungua I.D mpya.

Huyu atakua ni dada Genta
 
Uko sahihi 100% huyu Mpumbavu na Mnafiki MZURI SANA ni Member Adui yangu hapa JamiiForums na kaanzisha huu Uzi Kimkakati na Makusudi ili nichafuliwe kwa Watu kusema ID yake hii ni yangu Mimi.
Acha kujitekenya na kucheka mwenyew hii ni id yako mwenyew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…