Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye ndo anakimbiaga ananijua vizuri mno
🤣Unaenda wapi saiiHa ha ha [emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
Yaan anajipigia mwenyewe alafu ananusa mwenyewe,Mhh sio kwa kiki hiii
Pigia mstari mchonoe usikie mitusi yakeHuyu ni GENTAMYCINE bila shaka.
[emoji1787]Unaenda wapi saii
Mkuu kulikoni tena, uzi uanzishe wewe na kufuta uombe wewe.Aaaah brazaaaAsante kwa Credits zako japo najua na nina uhakika ( kutokana ) na Uzoefu wangu mkubwa hapa JamiiForums kuwa huu Uzi umeuanzisha kwa Mkakati Ovu dhidi yangu.
Lengo lako Kuu la huu Uzi wako halikuwa kumtaja Mshana Jr bali ni Mimi GENTAMYCINE na kumuweka Yeye ni Kuzuga tu ukidhani Mimi ni Mpumbavu na Mnafiki kama ulivyo.
Nina uhakika hii ID yako ambayo ni mpya hapa JamiiForums ni ya Mmoja wa Maadui zangu Wakubwa na umeanziaha huu Uzi kwa Lengo Ovu.
Najua hapa umetutaja Watu Wawili ( na Mshana Jr ) ila sitoshangaa Kuona 99% ya Members Watasema hii ID yako ni Mimi GENTAMYCINE na hawatosema ni ya huyo Mtajwa Mwenzangu mwingine hapa.
Uzi huu Umeuanzisha Makusudi ( Kimkakati ) kwa Kushirikiana na Wapumbavu Wenzako mnaonichukia ili baadae muanze Kuuchangia kwa ID's zenu Kongwe hapa JamiiForums na muanze Kunishambulia, Kunidhalilisha na Kueneza kuwa ni ID yangu na nimeianzisha ili tu nijisifie na nipate Sifa.
Moderators wa JamiiForums Cookie, Paw, YinYang, Mhariri, Boqin, Diversity, Bridger, Active, Moderator, JamiiForums na JamiiForums Founder Maxence Melo nasikitika sana mara kwa mara nimeshawaomba mkiona tu nasnzisha Mada za Kinafiki kama hii ( ambazo zinajifanya Kunisifia ) muwe mnazizuia kwani huwa hazina Lengo zuri nami ila kwa sasa mmeuachia huu Uzi hadi umefikia Ukurasa wa Nne ukienda wa Tano.
Na labda kupitia huu Uzi niwaombe Members wote wa JamiiForums hapa kuwa GENTAMYCINE sikujiunga hapa ili mnipongeze Kinafiki kama hivi au mnisifie. Tayari nimeshapongezwa, nimeshabarikiwa na nimeshasifiwa na Mwenyezi Mungu tokea ananiumba hivyo zinatosha hivyo sizihitaji zenu hizi na acheni Kujipendekeza Kwangu Kunakopitiliza kwani Mnaboa na Kunikera pia.
OMBI MUHIMU KWA UONGOZI WA JAMIIFORUMS
GENTAMYCINE nimechoka sasa ( na hata huko nyuma nilishawaombeni hili ) kuwa kila ID itakayokuwa Inanisifia hapa JamiiForums upesi sana inahusishwa nami ( kwamba ni yangu ) na nimeianzisha ili Kujisifu.
Hivyo basi nawaombeni ( na najua Uwezo huo mnao kutokana na Utaalam wenu ) tafadhali zichunguzeni hizi IDs zote ninazohusishwa nazo na mkizigundua Kweli ni zangu ( nina Multiple UDs hapa ) nawaombeni msiishie tu KUZIFUTA bali nawaombeni na nimewaruhusu MNIPE ADHABU YOYOTE KALI ambayo mtaona inanistahili.
This is too much and I'm fed up with it. And please let this Thread be removed as I requested.
I'm done....!!
Unapenda vita my🤣Kumuita aje [emoji23][emoji23][emoji23]
Unapenda vita my[emoji1787]
Uzi wangu #1113 una Jibu lako. Idiot.
Ushaanza matusi au sio wewe pumbavu pamoja ukoo wako mzima wote pumbavu jumlisha na aliekuzaa na yeye pia pumbavuPost yangu #113 una Jibu lako Pumbavu.
MwenyewePost yangu #113 una Jibu lako. Pumbavu.
Nitampaka mafuta[emoji23][emoji23][emoji23] wewe tulia ukandwe ankal kashafika
Acha kujitekenya na kucheka mwenyew hii ni id yako mwenyewUko sahihi 100% huyu Mpumbavu na Mnafiki MZURI SANA ni Member Adui yangu hapa JamiiForums na kaanzisha huu Uzi Kimkakati na Makusudi ili nichafuliwe kwa Watu kusema ID yake hii ni yangu Mimi.
Nitampaka mafuta