Kama mtu wa kiume kuamua kuigiza kama mwanamke ni hatari sana ,maana anaweza kuchukulia masihara ila ubaya unaweza kumgeukia akawa katika yale anayoigizaAcha ujinga!!,narudia tena acha ujinga!!simama kwenye zamu Yako kama mwanamme
Ila hii nimeongea from deep inside my heart,Mwanamme uliyekamilka Huwezi anzisha Uzi wa kibwege bwege kumuanzishia mwanaume mwenzio
..ni Humiliation,ana Haki ya kutukuna......Ukianzishiwa Uzi ambao unajua kabisa lengo sio Upendo ila ni dhihaka uwa inakera sana!
Weweeeee sitaki mtu amsumbue Depal[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]sijui nani atakutetea labda Depal
Nashukuru kwa Kulijua hili / hilo Mkuu ngoja sasa nimnyooshe pamoja na Wapumbavu Wenzake na leo Watanitambua kwani Ninewavumilia vya kutosha na Nimechoka.
Acha ujinga!!,narudia tena acha ujinga!!simama kwenye zamu Yako kama mwanamme
Hilo ni dume linajifanya jike yaani masihara sihara mtu anakuja kuwa shoga
No,amekosea.[emoji23][emoji23][emoji23] dada umechafukwa leo
Nimekuona umemtetea bwana ango Genta na unanigusa na mie.
Nakuheshimu we dada.
Uje uniguse K uamini kama mie mwanamke Kweli.
Sina muda wa kujiaminisha katika hilo
Kama Kweli ni Ke unamsifiaje mwanaume anakushushua bwana?use ur Magnetic....mwanamke ana natural magnet ila u don't have that ndio maana hapa imeshindikana unaogeshwa mitusi sasaNimekosea kitu gani na Wewe
Kaka atatuletea wifiHatimaye kaka amefikiwa Mshana Jr
Kama Kweli ni Ke unamsifiaje mwanaume anakushushua bwana?use ur Magnetic....mwanamke ana natural magnet ila u don't have that ndio maana hapa imeshindikana unaogeshwa mitusi sasa
Nimeshaachana nae nimemuona mpuuzi mmoja tu.
Nisamehe shosti nimejidharirisha
Wifi mwenyewe ni bad newsKaka atatuletea wifi
Kiki mchezo🤣Kataka kiki kaipata leo [emoji23][emoji23][emoji23]
Swali muhimu hiliId yako ya zamani ipi? [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu ni "ME" ameamua kujibadili jinsia ili ajisifie,sasa awe makini kimzaha mzaha watu watapiga 😅😅Ukiwa new member unaweza andika ujinga wowote ilimradi watu wakuone kua upo Jf
Kiki mchezo[emoji1787]
Umeeleweka mkaliWanajf
Kwa heshima yote mie binti mzuri mdada nilijiunga jf leo .
Naomba nitoe mchango wangu kwa kutambua uwepo wa wanaume wanaongoza kuwa na mvuto na ushawishi humu ndani ambao ni GENTAMYCINE na MSHANA JR.
Hawa ndio wanaume wanaongoza kwa mvuto humu ndani.,sidhani kuna wakunipinga katika hilo
Wanasifa nyingi sana zinazowafaa kupewa Tuzo hii.
Nimemaliza mie mdada Mzuri sana.
Nawapenda.
GENTAMYCINE
Mshana Jr