GENTA ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JF

Acha ujinga!!,narudia tena acha ujinga!!simama kwenye zamu Yako kama mwanamme
Kama mtu wa kiume kuamua kuigiza kama mwanamke ni hatari sana ,maana anaweza kuchukulia masihara ila ubaya unaweza kumgeukia akawa katika yale anayoigiza
 

Hatareee aiseee!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Humu jf uhuru umezidi
 
Nashukuru kwa Kulijua hili / hilo Mkuu ngoja sasa nimnyooshe pamoja na Wapumbavu Wenzake na leo Watanitambua kwani Ninewavumilia vya kutosha na Nimechoka.

Wanyooshe ankal [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekuona umemtetea bwana ango Genta na unanigusa na mie.

Nakuheshimu we dada.

Uje uniguse K uamini kama mie mwanamke Kweli.

Sina muda wa kujiaminisha katika hilo

[emoji23][emoji23][emoji23] jamani eee mazito haya!!!
Sisy Joannah kumbe upo na ankal Genta mbona hujaniambia??!!
 
Kama Kweli ni Ke unamsifiaje mwanaume anakushushua bwana?use ur Magnetic....mwanamke ana natural magnet ila u don't have that ndio maana hapa imeshindikana unaogeshwa mitusi sasa

Kataka kiki kaipata leo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umeeleweka mkali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…