GENTA ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JF

GENTA ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JF

Acha ujinga!!,narudia tena acha ujinga!!simama kwenye zamu Yako kama mwanamme
Kama mtu wa kiume kuamua kuigiza kama mwanamke ni hatari sana ,maana anaweza kuchukulia masihara ila ubaya unaweza kumgeukia akawa katika yale anayoigiza
 
Ila hii nimeongea from deep inside my heart,Mwanamme uliyekamilka Huwezi anzisha Uzi wa kibwege bwege kumuanzishia mwanaume mwenzio
..ni Humiliation,ana Haki ya kutukuna......Ukianzishiwa Uzi ambao unajua kabisa lengo sio Upendo ila ni dhihaka uwa inakera sana!

Hatareee aiseee!!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Humu jf uhuru umezidi
 
Nashukuru kwa Kulijua hili / hilo Mkuu ngoja sasa nimnyooshe pamoja na Wapumbavu Wenzake na leo Watanitambua kwani Ninewavumilia vya kutosha na Nimechoka.

Wanyooshe ankal [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimekuona umemtetea bwana ango Genta na unanigusa na mie.

Nakuheshimu we dada.

Uje uniguse K uamini kama mie mwanamke Kweli.

Sina muda wa kujiaminisha katika hilo

[emoji23][emoji23][emoji23] jamani eee mazito haya!!!
Sisy Joannah kumbe upo na ankal Genta mbona hujaniambia??!!
 
Kama Kweli ni Ke unamsifiaje mwanaume anakushushua bwana?use ur Magnetic....mwanamke ana natural magnet ila u don't have that ndio maana hapa imeshindikana unaogeshwa mitusi sasa

Kataka kiki kaipata leo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanajf

Kwa heshima yote mie binti mzuri mdada nilijiunga jf leo .

Naomba nitoe mchango wangu kwa kutambua uwepo wa wanaume wanaongoza kuwa na mvuto na ushawishi humu ndani ambao ni GENTAMYCINE na MSHANA JR.

Hawa ndio wanaume wanaongoza kwa mvuto humu ndani.,sidhani kuna wakunipinga katika hilo

Wanasifa nyingi sana zinazowafaa kupewa Tuzo hii.

Nimemaliza mie mdada Mzuri sana.

Nawapenda.

GENTAMYCINE

Mshana Jr
Umeeleweka mkali
 
Back
Top Bottom