Vesuvius
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 2,478
- 5,102
Kulikuwa na wakongwe zaidi kabla yake siku hizi hawapo ama hawachangii. Na wala hakuna tofauti. .Endelea na ratiba zako.Moderator fanyie kazi hili swala jukwaa limepoa sana halina vionjo vyovyote vile na vijembe kitu ambacho ni kizuri
Mfano kipindi cha usajili wa ligi ya bongo ukija kwenye jukwaa mpaka unakereka limepoa
Moderator mrudisheni