ww ni mkewe ?Yule kijana mwenye makeke mengi kuliko wote humu jf amerudi Tena baada ya mapumziko ya lazima ya mwaka mpya Sasa naamini jf itachangamka Tena upyaaa ukiwa na stress nenda kamsemee hovyo mzee kijana gentamycine matusi utakayopata stress zitakwisha .
Pia naamini wale waliodhani Mimi ni mzee baba genta wataamini kwamba Mimi na genta ni watu wawili tofauti wanaotofautiana kiakili na kila kitu Kama ardhi na mbingu.
Comment zako adimu kama passport za TZ
Oooopppsss...!!Nawewe toka umeacha kutuletea madini ya kina Brutus Aristotle Marius Aurelius Michelangelo nk umekuwa popoma tu
I'd zenu zimejijengea heshima kwa Mada murua toka mbichwa ulivyojaa sifa madem wanakukimbilia kwa madini mototo na nondo kiwango kimeshuka kweli mademu sio watu wazuri wamemfanya da Vinci kuwa Kama jingalao na kawealumni popoma wewe!Comment zako adimu kama passport za TZ
Hahhaaaa.. umenifanya nicheke kweli. Ngoja nijitafakari lakini.. imenigusaI'd zenu zimejijengea heshima kwa Mada murua toka mbichwa ulivyojaa sifa madem wanakukimbilia kwa madini mototo na nondo kiwango kimeshuka kweli mademu sio watu wazuri wamemfanya da Vinci kuwa Kama jingalao na kawealumni popoma wewe!
Wewe ni Genta,punguza upopoma..Yule kijana mwenye makeke mengi kuliko wote humu jf amerudi Tena baada ya mapumziko ya lazima ya mwaka mpya Sasa naamini jf itachangamka Tena upyaaa ukiwa na stress nenda kamsemee hovyo mzee kijana gentamycine matusi utakayopata stress zitakwisha .
Pia naamini wale waliodhani Mimi ni mzee baba genta wataamini kwamba Mimi na genta ni watu wawili tofauti wanaotofautiana kiakili na kila kitu Kama ardhi na mbingu.