Gentamycine is on again jf kuchele

Gentamycine is on again jf kuchele

Ile Mada ya Michelangelo vs davinci kwenye sclupturing ni Kati ya nyuzi Bora kabisa za jf nilipenda pale jamaa alipolichonga lile jiwe la Mable halafu akaliuliza mbona huongei?????
Sasa umeacha zile Mada za kijinias acha cc tuanzishe Mada zetu za kipopoma zenye viwango vya kigentamycine
Maisha yanabadirika ndugu..
Twajitahidi kuandika ila watu hamfiki.
 
Yule kijana mwenye makeke mengi kuliko wote humu jf amerudi Tena baada ya mapumziko ya lazima ya mwaka mpya Sasa naamini jf itachangamka Tena upyaaa ukiwa na stress nenda kamsemee hovyo mzee kijana gentamycine matusi utakayopata stress zitakwisha .

Pia naamini wale waliodhani Mimi ni mzee baba genta wataamini kwamba Mimi na genta ni watu wawili tofauti wanaotofautiana kiakili na kila kitu Kama ardhi na mbingu.
Unapiga tu kelele kavae kinyeramumo tushakujua ww ni nan
 
Unapiga tu kelele kavae kinyeramumo tushakujua ww ni nan
Watu Kama nyie mkija segerea au ukonga nawaletea chakula bure hampangi foleni japo mtanipa kazi ya kulinda vinyabe vyenu visisogelewe na mabazazi
 
Watu Kama nyie mkija segerea au ukonga nawaletea chakula bure hampangi foleni japo mtanipa kazi ya kulinda vinyabe vyenu visisogelewe na mabazazi
Hicho chakula jipe mwnyw ule ubongo ukomae ili fikra za vinyabe na mababazi zikutoke coz naona umetendwa sana hadi unawakumbuka.
 
Back
Top Bottom