Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona sasa,huwezi kujificha..U
Unahamu ya kamba ya unyabe na baridi hili !?
Nipo hujambo.. lovely mum
Maisha yanabadirika ndugu..Ile Mada ya Michelangelo vs davinci kwenye sclupturing ni Kati ya nyuzi Bora kabisa za jf nilipenda pale jamaa alipolichonga lile jiwe la Mable halafu akaliuliza mbona huongei?????
Sasa umeacha zile Mada za kijinias acha cc tuanzishe Mada zetu za kipopoma zenye viwango vya kigentamycine
Naunga mkono hojaWewe ni Genta,punguza upopoma..
Ulipotelea wapi..
Utakuwa unawashwa washwa ww si bureHapana mmewe nawewe ni kimada wangu kwahiyo wewe nayeye wote mnijua pointed stick yangu.
Unapiga tu kelele kavae kinyeramumo tushakujua ww ni nanYule kijana mwenye makeke mengi kuliko wote humu jf amerudi Tena baada ya mapumziko ya lazima ya mwaka mpya Sasa naamini jf itachangamka Tena upyaaa ukiwa na stress nenda kamsemee hovyo mzee kijana gentamycine matusi utakayopata stress zitakwisha .
Pia naamini wale waliodhani Mimi ni mzee baba genta wataamini kwamba Mimi na genta ni watu wawili tofauti wanaotofautiana kiakili na kila kitu Kama ardhi na mbingu.
Nawewe toka umeacha kutuletea madini ya kina Brutus Aristotle Marius Aurelius Michelangelo nk umekuwa popoma tu
Hicho chakula jipe mwnyw ule ubongo ukomae ili fikra za vinyabe na mababazi zikutoke coz naona umetendwa sana hadi unawakumbuka.Watu Kama nyie mkija segerea au ukonga nawaletea chakula bure hampangi foleni japo mtanipa kazi ya kulinda vinyabe vyenu visisogelewe na mabazazi