Gentamycine is on again jf kuchele

Gentamycine is on again jf kuchele

Yaani mtu anasifiwa hapa JF kwa kuwasemea wenzake mbovu mbovu badala ya kusifiwa kumwaga elimu ya maujuzi humu? Au mimi ndio sijaelewa!
 
Yaani mtu anasifiwa hapa JF kwa kuwasemea wenzake mbovu mbovu badala ya kusifiwa kumwaga elimu ya maujuzi humu? Au mimi ndio sijaelewa!
Wewe popoma hata shule Kuna vipindi vya physics mathematics na michezo au maigizo kungekuwa na mathematics tupu popoma Kama wewe ungekimbia shule mapema sana
 
Wewe popoma hata shule Kuna vipindi vya physics mathematics na michezo au maigizo kungekuwa na mathematics tupu popoma Kama wewe ungekimbia shule mapema sana
Umasikini kitu kibaya sana aisee! mtu anakua na stress mpaka anakua anatukana watu hovyo utafikiri sisi ndio tumempa umasikini!
 
Ach
Acha upopoma kapuku wewe
Pia I'd ya

Clever bright ni yako

Tatizo ukitumia I'd tofauti mnafanya makosa madogo madogo ambayo yanawafanya mgundulike hususani kwenye uwasilishwaji wa mada zenu na matumizi ya maneno

Ndio Mimi ni popoma kama ulivyosema huwa matusi kwangu kawaida embu isome I'd yangu ndo utajua [emoji3]

Acha ujinga genta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia I'd ya

Clever bright ni yako

Tatizo ukitumia I'd tofauti mnafanya makosa madogo madogo ambayo yanawafanya mgundulike hususani kwenye uwasilishwaji wa mada zenu na matumizi ya maneno

Ndio Mimi ni popoma kama ulivyosema huwa matusi kwangu kawaida embu isome I'd yangu ndo utajua [emoji3]

Acha ujinga genta

Sent using Jamii Forums mobile app
Ana nyingine inaitwa Eagle Eye.
 
Back
Top Bottom