Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
Kiupande wangu sijawahi kusoma nyuzi zako from A - Z Ila kikubwa najua upumbavu wote uloandika kupitia title.. Sina mda wa kusomaga huo upupu wako.'Natural Charm' yangu GENTAMYCINE inawatesa na itawatesa Wapumbavu ( Damn Fools ) nyote mnaonichukia ila 24/7 hamuachi ama kusoma Threads au Posts zangu hapa JamiiForums.
Hivi kati ya Mimi ambaye hata Sikushobokei 'Mwendo' Wewe na Wewe ambaye Umeshakiri hapa kuwa Hunipendi na huwa Husomi Nyuzi zangu lakini Kutwa unanifuatilia na hata Kuzisoma Nusu tu au Kichwa cha Habari ni nani ni Pumbavu na Mwendawazimu kuliko Mwenzake?Kiupande wangu sijawahi kusoma nyuzi zako from A - Z Ila kikubwa najua upumbavu wote uloandika kupitia title.. Sina mda wa kusomaga huo upupu wako...
Mkinichokoza hakikisheni Vita ya maneno nami mnaiweza na muwe mmejipanga kweli kweli kwani nina Uwezo wa Kujibizana na Wapumbavu kama Wewe (Nyie) hata 100 kwa wakati Mmoja na kwa jinsi ninavyojiamini hakuna wa Kuniweza kati yenu.Huyu jamaa ana maneno ya shombo kuliko dada zake
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Maswali yako yote na Hoja zako zote nitazijibu kama tu Ukinihakikishia kuwa wakati Ukiandika Uzi huu ulikumbuka Kunywa Kidonge chako cha Ugonjwa mkubwa wa Akili ulionao kwa muda mrefu na kama pia umeshaacha ile tabia yako ya kuwa 'Mwendo' ukiwa kama Mtoto wa Kiume.Wasalaam wanabodi
Sina neno,niseme tu kwamba Mimi ni shabiki na mwanachama halisi wa Dar es salaam Young African
Kuna uzi upo humu ambao umeanzishwa na member mwenzetu humu ,akionekana kujua mengi kuhusu mpira wa kibongo kama si ujuaji tu...
Mkuu, Binafsi nakupongeza sana kwa kwa huu ushauri wako juu ya Huyu bwana Mkubwa GENTAMYCINE, Nami niongeze kitu hapa. kwanza ni-declare my interest...
GENTAMYCINE naomba uniambie now una mtazamo au msimamo ule ule kwamba Yanga imemuonga Coastal Union ujichukulie point 3?Maswali yako yote na Hoja zako zote nitazijibu kama tu Ukinihakikishia kuwa wakati Ukiandika Uzi huu ulikumbuka Kunywa Kidonge chako cha Ugonjwa mkubwa wa Akili ulionao kwa muda mrefu na kama pia umeshaacha ile tabia yako ya kuwa 'Mwendo' ukiwa kama Mtoto wa Kiume.
Ninasubiri Majibu yako upesi tafadhali!!
Hata ukiwaelimisha hao haters wa yanga bado hawatakuelewa. Wape muda. Siku kombe la premier lashuka pale jangwani ndipo watasaga meno…Wasalaam wanabodi
Sina neno, niseme tu kwamba Mimi ni shabiki na mwanachama halisi wa Dar es salaam Young African
Kuna uzi upo humu ambao umeanzishwa na member mwenzetu humu, akionekana kujua mengi kuhusu mpira wa kibongo kama si ujuaji tu.
Uzi unaituhumu timu ya Coastal union kwamba watafungwa tu, kwakuwa tayari GSM washatoa mlungula huko Tanga.
Maswali yangu,
Je, wewe Gentamycine umeangalia mechi kati ya Coastal union na Yanga?
Je, umeona na kujiridhisha aina ya magoli yaliyofungwa na wachezaji tegemeo na wenye kulazimisha matokeo?
Ushauri wangu kwako ni kwamba punguza ujuaji au jiongeze, siyo Kila habari unayoisikia unakimbilia kuileta humu.
Vinginevyo unajiaibisha tu,
Coast wamecheza vizuri tena walipania lakini ndio hivyo Tena,
Wamecheza lakini magoli kapata Yanga.
Lakini mbona Coastal walikuwa na motisha za kutosha Kutoka kwa Waziri Umy, mkuu wa mkoa Bakari Malima na wafanyabiashara, jumla m50. Tuseme tu Coastal wamefungwa kihalali kabisa.Wasalaam wanabodi
Sina neno, niseme tu kwamba Mimi ni shabiki na mwanachama halisi wa Dar es salaam Young African
Kuna uzi upo humu ambao umeanzishwa na member mwenzetu humu, akionekana kujua mengi kuhusu mpira wa kibongo kama si ujuaji tu.
Uzi unaituhumu timu ya Coastal union kwamba watafungwa tu, kwakuwa tayari GSM washatoa mlungula huko Tanga.
Maswali yangu,
Je, wewe Gentamycine umeangalia mechi kati ya Coastal union na Yanga?
Je, umeona na kujiridhisha aina ya magoli yaliyofungwa na wachezaji tegemeo na wenye kulazimisha matokeo?
Ushauri wangu kwako ni kwamba punguza ujuaji au jiongeze, siyo Kila habari unayoisikia unakimbilia kuileta humu.
Vinginevyo unajiaibisha tu,
Coast wamecheza vizuri tena walipania lakini ndio hivyo Tena,
Wamecheza lakini magoli kapata Yanga.
YeeeeesLakini mbona Coastal walikuwa na motisha za kutosha Kutoka kwa Waziri Umy, mkuu wa mkoa Bakari Malima na wafanyabiashara, jumla m50. Tuseme tu Coastal wamefungwa kihalali kabisa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ha haaaaa.....wamejua hawajui.Tatizo kuna watu wamekariri kuwa Coastal huwa anaifunga Yanga wakikutana Mkwakwani sasa leo wamejua kuwa hawajui
Kuna Uzi wa Kumhusu Msemaji wenu Haji Manara nauanzisha hivi punde nadhani Jibu lako utalikuta huko.GENTAMYCINE naomba uniambie now una mtazamo au msimamo ule ule kwamba Yanga imemuonga Coastal Union ujichukulie point 3?
Hii mupyamkuu wa mkoa Bakari Malima jembe ulaya
Yule ni chiziKuna mtu anaitwa Scars jamani!! Yule sijui hata unamuitaje?
Mimi sio mshabiki wa Yanga kwanza naomba uniombe radhi ukiacha ushabiki wa team zetu mpira ni jambo ambalo liko wazi labda kama ulianza kupenda team kwanza.Kwa ushindani Coastal Union walioonesha utasemaje imeongwa pesa? Ifike kipindi ushabiki maandazi uuweke pembeni uwe realisticKuna Uzi wa Kumhusu Msemaji wenu Haji Manara nauanzisha hivi punde nadhani Jibu lako utalikuta huko.
Jamaa anajiona anajua kumbe anaungua jua[emoji95] tu la darWasalaam wanabodi
Sina neno, niseme tu kwamba Mimi ni shabiki na mwanachama halisi wa Dar es salaam Young African
Kuna uzi upo humu ambao umeanzishwa na member mwenzetu humu, akionekana kujua mengi kuhusu mpira wa kibongo kama si ujuaji tu.
Uzi unaituhumu timu ya Coastal union kwamba watafungwa tu, kwakuwa tayari GSM washatoa mlungula huko Tanga.
Maswali yangu,
Je, wewe Gentamycine umeangalia mechi kati ya Coastal union na Yanga?
Je, umeona na kujiridhisha aina ya magoli yaliyofungwa na wachezaji tegemeo na wenye kulazimisha matokeo?
Ushauri wangu kwako ni kwamba punguza ujuaji au jiongeze, siyo Kila habari unayoisikia unakimbilia kuileta humu.
Vinginevyo unajiaibisha tu,
Coast wamecheza vizuri tena walipania lakini ndio hivyo Tena,
Wamecheza lakini magoli kapata Yanga.