Gentamycine naomba kukuuliza kuhusu hili la Yanga, Coastal Union na GSM

Gentamycine naomba kukuuliza kuhusu hili la Yanga, Coastal Union na GSM

Kuna Uzi wa Kumhusu Msemaji wenu Haji Manara nauanzisha hivi punde nadhani Jibu lako utalikuta huko.
Uzi kuhusu Manara tena[emoji15]!!!!
Kwann usi deal na kuisaidia timu yako mbov??izo mambo za nyuzi tushakuzoea na tunajua hazisaidii kitu timu yako [emoji1787][emoji38][emoji16]
 
Ni wewe Gentamycine ndiyo mpumbavu kuliko wote hapa jf, wote tunakufahamu na ukome kutuletea umbeya na upumbavu wako hapa jf. Nasubiria mitusi yako maana mdomo wako Ni kiwanda Cha matusi na si vinginevyo
Hivi kati ya Mimi ambaye hata Sikushobokei 'Mwendo' Wewe na Wewe ambaye Umeshakiri hapa kuwa Hunipendi na huwa Husomi Nyuzi zangu lakini Kutwa unanifuatilia na hata Kuzisoma Nusu tu au Kichwa cha Habari ni nani ni Pumbavu na Mwendawazimu kuliko Mwenzake?
 
Ni wewe Gentamycine ndiyo mpumbavu kuliko wote hapa jf, wote tunakufahamu na ukome kutuletea umbeya na upumbavu wako hapa jf. Nasubiria mitusi yako maana mdomo wako Ni kiwanda Cha matusi na si vinginevyo
You're a CERTIFIED FOOL and MENTAL!!
 
Ka-simba kamepapaswa kwa mpalange na serikali ipo kimya tu, haiwezekani tunataka katiba mpya
 
Wasalaam wanabodi

Sina neno, niseme tu kwamba Mimi ni shabiki na mwanachama halisi wa Dar es salaam Young African

Kuna uzi upo humu ambao umeanzishwa na member mwenzetu humu, akionekana kujua mengi kuhusu mpira wa kibongo kama si ujuaji tu.

Uzi unaituhumu timu ya Coastal union kwamba watafungwa tu, kwakuwa tayari GSM washatoa mlungula huko Tanga.

Maswali yangu,

Je, wewe Gentamycine umeangalia mechi kati ya Coastal union na Yanga?

Je, umeona na kujiridhisha aina ya magoli yaliyofungwa na wachezaji tegemeo na wenye kulazimisha matokeo?

Ushauri wangu kwako ni kwamba punguza ujuaji au jiongeze, siyo Kila habari unayoisikia unakimbilia kuileta humu.

Vinginevyo unajiaibisha tu,

Coast wamecheza vizuri tena walipania lakini ndio hivyo Tena,

Wamecheza lakini magoli kapata Yanga.
Ningekuona una Akili kama Kwanza umgekanusha kwa Members hapa kuwa hii ID yako siyo Mimi kwani tayari Wapumbavu Wenzako wameshaanza Kunihusisha nayo.

Najibu Maswali yako kama ifuatavyo......

1. Je, kuna Siku yoyote ile GENTAMYCINE nimeanzisha Uzi hapa na Kukulazimisha Uufuatilie?

2. Umesema kuwa GENTAMYCINE huwa nakurupuka kuanzisha Mada hapa JamiiForums ambazo huwa hazina Ukweli je, kama Mada zangu huwa hazina Ukweli Moderators wa JamiiForums wangekuwa wanaziacha muendelee Kuzichangia?

3. Umesema Mimi najifanya Mjuaji wa Kila Kitu au Mambo mengi je, Kwako Wewe GENTAMYCINE kuwa this Knowledgeable and Well Informed kuna tatizo? Kuna mahala popote pale nawe umezuiwa kuwa hivyo / hivi?

4. Tokea Wewe Mpumbavu Mwandamizi JamiiForums nzima na hawa ( hao ) Wafuasi wako waliokupa 'Likes' hapo muanze Kunichukia GENTAMYCINE je, Amana zenu za Benki na katika Miamala ya Simu zimeongezeka? Je, huko Makazini Kwenu mmepandishwa Vyeo?

5. Umeniuliza Swali kuhusu GSM ma Kuidhamini Coastal Union FC ya Tanga na Suala zima la Upangaji Matokeo ila uliponishangaza tu na ndiyo maana huwa Nawadharau mno Wengi hapa JamiiForums kwakuwa hamna Akili ni kwamba tayari katika Maelezo yako umeshaonyesha kuwa Huniamini na Hunikubali halafu tena unaniaka nikupe Maelezo ya Kiufafanuzi juu ya Hoja yangu je, nikisema Wewe ni Mwendawazimu nitakuwa nakukosea?

6. Wewe na hao ( hawa ) Wapumbavu Wenzako wote waliokupa hizi 'Likes' hapa mmeshajiuliza ni kwanini pamoja na Kunichukia Kwenu Kutwa ( 24/7 ) hapa JamiiForums lakini bado tu nakuwa Maarufu hadi natajwa na Mabalozi akina Dk. Wilbroad Slaa, Redioni na hata katika Vipindi vya Runinga huku idadi ya Followers wangu ikiongezeka na huko Vyuo Vikuu baadhi ya Lecturers wakitumia baadhi ya Mada zangu hapa kama Mada Chokozi kwa Wanafunzi hasa katika Mijadala ya Kimasuala yaihusuyo nchi?

7. Ushauri wangu pekee ninaokupa Wewe na Wapumbavu Wenzako wote ni kwamba jikusanyeni kisha andaeni Barua ya Kukata Rufaa kwa Mwenyezi Mungu ya kwanini amenibariki GENTAMYCINE kuwa "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' hivi huku akiwaacha nyie na Uswahili wenu, Chuki zenu na Wivu wenu Kwangu kiasi kwamba Wengi wenu mkiiona tu hii ID basi Mavi yanaanza Kuwabana na hata mnataka Kupasuka kwa Roho Mbaya yenu na Unafiki wenu dhidi yangu utadhani labda nililala na Mama zemu Wazazi na nimswaacha ( nimewatema ) rasmi hivyo nyie Watoto mmeumia na kuamua kuwa na 'Kisununu' nami.

Nimemaliza.
 
Kiupande wangu sijawahi kusoma nyuzi zako from A - Z Ila kikubwa najua upumbavu wote uloandika kupitia title.. Sina mda wa kusomaga huo upupu wako.

Ila tu punguza munkari, Mungu humpa yule mwenye juhudi za utafutaji.. So Yanga tunapambana na tunaamini Mungu hawezi kututupa Mkono Kombe tutanyakuwa tu tena kabla ya kumaliza mechi zetu.. utabaki na umbea wako huohuo kama mwali vile
Pumbavu anza Kwanza Kumshauri aliyekuzaa kuwa Siku nyingine asirudie tena Kutuzalia Popoma Lililotukuka kama Wewe sawa?
 
Sina uhakika lakini nadhani huyu Gentamycin ni nyuzi zake ni aina fulani hivi ya Comedian anayetafuta attention huwa hayupo serious bali kitu pekee anachojali ni kuwa mshindi kwa kila anayebishana naye.

Anyway! According to comment yako nadhani na wewe unaweza kufanana na Gentamicin! Misimu iliyopita ulikuwa unajua wazi kuwa Yanga haukuwa na kikosi kizuri kinachoweza kupambana kama cha Msimu huu lakini Muliishia kumtukana Karia na kuilaumu TFF na kusema Simba inanunua matokeo sikuwahi kukuona kulipinga hili.
Please stop comparing me with that Fool.
 
Back
Top Bottom