GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mi mgeni bado sijaelewa kitu.Yaani.....
1. Nimepoteza kabisa Nuru
2. Natia Huruma niwapo na Watu
3. Sijiamini amini
4. Najishtukia
5. Napatwa na hamu ya kwenda Kijijini mara kwa mara
6. Nikikumbuka tu nilichokifanya Moyo unaniuma mno
7. Moyo wangu unasema nijitokeze tu mbele za wana JamiiForums (Watu) kuomba Msamaha na Kutubu
Mtani wangu Arovera pamoja na Genius wangu mrangi na Msela wa Kambini Lugalo King Kong III mpo lakini Wadau?
Wamekusativa mkuu?Yaani.....
1. Nimepoteza kabisa Nuru
2. Natia Huruma niwapo na Watu
3. Sijiamini amini
4. Najishtukia
5. Napatwa na hamu ya kwenda Kijijini mara kwa mara
6. Nikikumbuka tu nilichokifanya Moyo unaniuma mno
7. Moyo wangu unasema nijitokeze tu mbele za wana JamiiForums (Watu) kuomba Msamaha na Kutubu
Mtani wangu Arovera pamoja na Genius wangu mrangi na Msela wa Kambini Lugalo King Kong III mpo lakini Wadau?
Karibu pata kwanza kichuri, na nyama choma, ili moyo utulieMi mgeni bado sijaelewa kitu.
Kurujuani 🤣🤣🤣Yaani.....
1. Nimepoteza kabisa Nuru
2. Natia Huruma niwapo na Watu
3. Sijiamini amini
4. Najishtukia
5. Napatwa na hamu ya kwenda Kijijini mara kwa mara
6. Nikikumbuka tu nilichokifanya Moyo unaniuma mno
7. Moyo wangu unasema nijitokeze tu mbele za wana JamiiForums (Watu) kuomba Msamaha na Kutubu
Mtani wangu Arovera pamoja na Genius wangu mrangi na Msela wa Kambini Lugalo King Kong III mpo lakini Wadau?
Natamani sana kwenda Kumuomba / Kuwaomba Msamaha niliowaumiza kwa kuwafanyia Ukatili Usiovumilika ila naogopa.Za ndani inasemekana ni kweli...
Natamani sana kwenda Kumuomba / Kuwaomba Msamaha niliowaumiza kwa kuwafanyia Ukatili Usiovumilika ila naogopa.Kurujuani 🤣🤣🤣
Natamani sana kwenda Kumuomba / Kuwaomba Msamaha niliowaumiza kwa kuwafanyia Ukatili Usiovumilika ila naogopa.Wamekusativa mkuu?
Natamani sana kwenda Kumuomba / Kuwaomba Msamaha niliowaumiza kwa kuwafanyia Ukatili Usiovumilika ila naogopa.Hii Albadirrr imenifanya nisielewe mada yako
Na ushaambiwa hutoboi huu mwaka..😋Natamani sana kwenda Kumuomba / Kuwaomba Msamaha niliowaumiza kwa kuwafanyia Ukatili Usiovumilika ila naogopa.
Natamani sana kwenda Kumuomba / Kuwaomba Msamaha niliowaumiza kwa kuwafanyia Ukatili Usiovumilika ila naogopa.Hatari sana
Ila Mkuu nilitoa Maelekezo ya Kawaida tu kwa 'Mtendewa Sipo Tena' nashangaa kuona Wao wakafanya yao na sasa Kuniponza hivi.Na ushaambiwa hutoboi huu mwaka..😋