GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Yaani.....
1. Nimepoteza kabisa Nuru
2. Natia Huruma niwapo na Watu
3. Sijiamini amini
4. Najishtukia
5. Napatwa na hamu ya kwenda Kijijini mara kwa mara
6. Nikikumbuka tu nilichokifanya Moyo unaniuma mno
7. Moyo wangu unasema nijitokeze tu mbele za wana JamiiForums (Watu) kuomba Msamaha na Kutubu
Mtani wangu Arovera pamoja na Genius wangu mrangi na Msela wa Kambini Lugalo King Kong III mpo lakini Wadau?
1. Nimepoteza kabisa Nuru
2. Natia Huruma niwapo na Watu
3. Sijiamini amini
4. Najishtukia
5. Napatwa na hamu ya kwenda Kijijini mara kwa mara
6. Nikikumbuka tu nilichokifanya Moyo unaniuma mno
7. Moyo wangu unasema nijitokeze tu mbele za wana JamiiForums (Watu) kuomba Msamaha na Kutubu
Mtani wangu Arovera pamoja na Genius wangu mrangi na Msela wa Kambini Lugalo King Kong III mpo lakini Wadau?