Gentleman. . .

Gentleman. . .

Majukumu my dear sjakwambia mi ni mama mtarajiwa hii ae ?? hhahahhaha lol

Unatarajia leo? mi ndo nimeshafunga kabisaa,sasa nalea watoto tu...haya, najua kwa nyie wa mara ya kwanza hata kutembea waga ni shida....kila la kheri,itabidi party zijazo tufanyie hapo kibarazani kwako...lol
 
Unatarajia leo? mi ndo nimeshafunga kabisaa,sasa nalea watoto tu...haya, najua kwa nyie wa mara ya kwanza hata kutembea waga ni shida....kila la kheri,itabidi party zijazo tufanyie hapo kibarazani kwako...lol

hahahahahah mhhhh itabidi uniambie diaper zipi za kuanza nazo hahahah lol
haya bana mi nakitoa kwa sasa baadaye..
 
Thank you dearest, you are the best. Alafu usimsikilize huyo Kongosho hafurahi kuona nna furaha bila kaka yake.

Tonight is our night. . . lets go create new memories.

Thank you too, you the best of the best....Huyu Kongosho hanipi tabu,na utu uzima wangu najua jinsi ya ku-deal na mawifi wanoko....sasa tuache simu nyumbani dearest...nakerwa na usumbufu wa new fiancee's....halafu mpigie simu nani yule na nanihii basi,tuwe na kampani kidogo....nakaribia kufika,nifungulieni...lol
 
naomba nusu kaputi
panado haitoshi

ila tangu uage ni masaa 8 yamepita?! 🙂
Unataka usinzie usahau kila kitu?

Saa zile nlikua nimeboraka. Baada ya kulaikiwa na kugundua kwamba nyota bado inang'aa nimeona nijiachie hapa hapa. Vipi, ubataka niondoke.?
 
hahahahahah mhhhh itabidi uniambie diaper zipi za kuanza nazo hahahah lol
haya bana mi nakitoa kwa sasa baadaye..

Haya dearest, mpe hongera mtengeneza chema kilichoko huko, naandaa kamati ya baby shower sasa, will be proud to do it for you.

Later's, stay well!!
 
Thank you too, you the best of the best....Huyu Kongosho hanipi tabu,na utu uzima wangu najua jinsi ya ku-deal na mawifi wanoko....sasa tuache simu nyumbani dearest...nakerwa na usumbufu wa new fiancee's....halafu mpigie simu nani yule na nanihii basi,tuwe na kampani kidogo....nakaribia kufika,nifungulieni...lol

Only the best for the best dearest.

Haya sie tuko hapa getini tunakusubiria. Leo wachumba walie tu maana ni usiku wetu na sio wao.
 
ukitekwa na sie jua ni chagulaga
kesho yake ni mahari kwa wazazi
hakuna mjadala
Hahahha. . . uzuri najua kaka yako sio jasiri kiais hicho. Otherwise ningehama kijiji.
 
sikutaka uondoke
ningemaind kikweli

nataka nisahau
kuna mtu ananzingua

Unataka usinzie usahau kila kitu?

Saa zile nlikua nimeboraka. Baada ya kulaikiwa na kugundua kwamba nyota bado inang'aa nimeona nijiachie hapa hapa. Vipi, ubataka niondoke.?
 
sikutaka uondoke
ningemaind kikweli

nataka nisahau
kuna mtu ananzingua

Basi ondoa hofu maana yule sijui ndio jirani yenu kanirudishia kila nilichopoteza hapa. .. .

Hhmmm nani tena huyo?
 
Only the best for the best dearest.

Haya sie tuko hapa getini tunakusubiria. Leo wachumba walie tu maana ni usiku wetu na sio wao.

Ndo maana nakupenda,u-muelewa sana....wamekubali hao uliowapigia simu?? Kama wana u-busy niwapigie wengine??
 
Back
Top Bottom