Gentleman. . .

naogopa nisije nikamjaza maneno mwishowe aharibu bure.

Ngoja nimwulize kama nimwandikie asome kama risala kwa mkuu wa mkoa
atakuwa haipatensive kwa kweli

Hutaki kumtathmini? Maana mpaka sasa hivi ameshakuangusha.
 
naogopa nisije nikamjaza maneno mwishowe aharibu bure.

Ngoja nimwulize kama nimwandikie asome kama risala kwa mkuu wa mkoa
atakuwa haipatensive kwa kweli

We usiwe na shaka ,utakayomwambia atajitahidi kuelewa. . . he is a gentleman remember. . . !!
 
wewe kuja tu..! kwani nilivyokwambia uje nilikwambia uje na hata hiyo ya popcorn...!?

Eeeeeh naogopa kukabwa afterwards.
Kwahiyo lazima nihakikishe na mimi nanunua kitu ili ukinidai na mimi nikudai.
 
Eeeeeh naogopa kukabwa afterwards.
Kwahiyo lazima nihakikishe na mimi nanunua kitu ili ukinidai na mimi nikudai.
Mama yangu alinifundisha kitu kimoja hiviii...! kua nikiwaninatoa kitu kwa mtu yeyote yule nitoe kama nina mpa yeye(MAMA).. na siwezi kumdai MAMA hata kidogo..! so USIOGOPE...! japo TF anaweza kuja na mabomu akaleta ugonjwa wa moyo kwa manji bure..!
 
Hahahaha. . . .
Mbu umepata notification nini. . . lolz?Nwy jiandae kutoa zawadi sasa sio ufurahie tu mabadiliko.

lol...acha tu,...kufanikisha kukidhi viwango vyote vya Lizzy si mchezo ujue?!....😛hoto:
 
Mama yangu alinifundisha kitu kimoja hiviii...! kua nikiwaninatoa kitu kwa mtu yeyote yule nitoe kama nina mpa yeye(MAMA).. na siwezi kumdai MAMA hata kidogo..! so USIOGOPE...! japo TF anaweza kuja na mabomu akaleta ugonjwa wa moyo kwa manji bure..!

Na mimi nilifundishwa kwamba nisipende vitu vya bure maana vinaweza vikanitokea puani, kwahiyo naogopa sana vitu vya kupewa.
 
lol...acha tu,...kufanikisha kukidhi viwango vyote vya Lizzy si mchezo ujue?!....😛hoto:
Hahahaha. . . mbona mi vigezo vyangu vya kawaida tu Mbu? Yani kawaida sana nikilinganisha na vya wadada wengine wengi.
 
Reactions: Mbu
yaani hii ni 'HATIMAYE' skwea skwead

mwaka huu tutavuna, nimeamini hata chui ana.....

...umeona ee? aah, acha nisepe sredi hii huku nikiendelea kumsoma Lizzy na sredi zake zinazofuatia..
 
Hahahaha. . . mbona mi vigezo vyangu vya kawaida tu Mbu? Yani kawaida sana nikilinganisha na vya wadada wengine wengi.

:A S-coffee:...eee?...mnnnh!... mnh?! ...haaya! Lizzy weye ulosimamia kutungwa katiba sahihi ya mahusiano, mapenzi na urafiki? sina na wa kukulinganisha nawe...lol
 
:A S-coffee:...eee?...mnnnh!... mnh?! ...haaya! Lizzy weye ulosimamia kutungwa katiba sahihi ya mahusiano, mapenzi na urafiki? sina na wa kukulinganisha nawe...lol

Lolzzz. . . .
Ila kweli Mbu, vigezo vyangu ni rahisi sana mtu kuwa navyo, sema basi tu.

Alafu naona Kongosho eti nae kaunga mkono hoja yako wakati Madam Speaker hajaruhusu kura.
 
Reactions: Mbu
unajua nasapoti hii kitu 100%

ila siwezi pinga kwamba you are very simple and easy yet very complex.

Ni mrahisi sana kwa vitu vinavyoshikika lakini mgumu sana kwa vitu visivyoshikika.
Lolzzz. . . .
Ila kweli Mbu, vigezo vyangu ni rahisi sana mtu kuwa navyo, sema basi tu.

Alafu naona Kongosho eti nae kaunga mkono hoja yako wakati Madam Speaker hajaruhusu kura.
 
unajua nasapoti hii kitu 100%

ila siwezi pinga kwamba you are very simple and easy yet very complex.

Ni mrahisi sana kwa vitu vinavyoshikika lakini mgumu sana kwa vitu visivyoshikika.

Hahaha. . . hiyo detector sijui monitor yako iko sentive kiasi gani? Nataka nitengeneze firewall. . .

Alafu umepatia mpaka natamani kukupa zawadi. . . any special requests?
 

Lizzy, msaada pliz....
Natakiwa nisemeje hapa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…