Gentleman. . .

Gentleman. . .

tena imejaa utata na mafumbo
kama tamathali za semi na nahau

itabidi tufanye konferensi call ku-clear huu utata.

Hakika kuna hidden meaning hapo....tunahitaji si conference call peke yake...twahitaji na webinar kabisa!
 
Hhehehehe. . Huo ndio mstari ambao niliukariri tangu miaka hiyooo hata sielewi maana. Embu aniambie kama anahisi nanyemelea boma lake.

Unajua queenkami hana kawaida ya kujivinjari kwa sana humu JF....lakini hii mada haijampita. I wonder why? Labda unahatarisha maslahi yake...
 
tena imejaa utata na mafumbo
kama tamathali za semi na nahau

itabidi tufanye konferensi call ku-clear huu utata.


Loh. . . embu niandalie pakukimbilia maana panaweza pasikalike hapa.
 
Unajua queenkami hana kawaida ya kujivinjari kwa sana humu JF....lakini hii mada haijampita. I wonder why? Labda unahatarisha maslahi yake...

Yapi sasa. . .???!
We unajua kambi yake iko wapi?
 
ha ha ha
umenichekesha hadi nimepaliwa
na kweli, tunahitaji maelezo ya kutosha
kabla wengine hatujapata heart attack

Hakika kuna hidden meaning hapo....tunahitaji si conference call peke yake...twahitaji na webinar kabisa!
 
Right here in JF. . . .

There is a certain gentleman,
who posseses the qualities of a real man
One with uncompromising principles,
And great ambitions.
His irresistible charm. . . takes me by storm.
Lizzy

Natamani kuwe na wakaka wanaofanana na huyu in the real world, wanaojielewa na kuelewa wengine. Wenye mawazo ambayo sio ya kibinafsi kama ya wengine tuliowazoea, wenye mioyo ya dhahabu kama wake, wenye msimamo kama yeye, heshima na akili kama zake. A real husband material. . . a man worth loving.

Hapo maroon bold, kumbe upo kwenye searching wangu....
Nilikurupuka bila kuona lol

Kwahiyo wewe hujitutumuia?

Hhhm what kinda music?

Mi sijioni, hivi najitutumua uh??
Sipendi kujitutumua kweli....
Sasa si unajua studio we got a range of music genre... unajipimia tu...
 
Hapo maroon bold, kumbe upo kwenye searching wangu....
Nilikurupuka bila kuona lol



Mi sijioni, hivi najitutumua uh??
Sipendi kujitutumua kweli....
Sasa si unajua studio we got a range of music genre... unajipimia tu...
Kwahiyo wewe hujioni ni gentleman?

Interesting. . . itabidi nije kukutembelea siku moja nitoe na single kabisa.
 
Right here in JF. . . .

There is a certain gentleman,
who posseses the qualities of a real man
One with uncompromising principles,
And great ambitions.
His irresistible charm. . . takes me by storm.

Lizzy

Natamani kuwe na wakaka wanaofanana na huyu in the real world, wanaojielewa na kuelewa wengine. Wenye mawazo ambayo sio ya kibinafsi kama ya wengine tuliowazoea, wenye mioyo ya dhahabu kama wake, wenye msimamo kama yeye, heshima na akili kama zake. A real husband material. . . a man worth loving.
..@Red, Dah tangu nimejiunga JF sijawahi kuona Mwanadada anafunguka kiasi hiki, haya ni Mapenzi halisi kwa huyo XXXX JF Gentleman.
Hey,Gentleman, who ever y're. Y're very lucky.
 
..@Red, Dah tangu nimejiunga JF sijawahi kuona Mwanadada anafunguka kiasi hiki, haya ni Mapenzi halisi kwa huyo XXXX JF Gentleman.
Hey,Gentleman, who ever y're. Y're very lucky.
Hahahaha. . .Kivumah hushangai mdada kufunguka? Maana mmezoea nyie ndio wafungukaji.
 
Back
Top Bottom