Gentleman. . .

tena imejaa utata na mafumbo
kama tamathali za semi na nahau

itabidi tufanye konferensi call ku-clear huu utata.

Hakika kuna hidden meaning hapo....tunahitaji si conference call peke yake...twahitaji na webinar kabisa!
 
Hhehehehe. . Huo ndio mstari ambao niliukariri tangu miaka hiyooo hata sielewi maana. Embu aniambie kama anahisi nanyemelea boma lake.

Unajua queenkami hana kawaida ya kujivinjari kwa sana humu JF....lakini hii mada haijampita. I wonder why? Labda unahatarisha maslahi yake...
 
tena imejaa utata na mafumbo
kama tamathali za semi na nahau

itabidi tufanye konferensi call ku-clear huu utata.


Loh. . . embu niandalie pakukimbilia maana panaweza pasikalike hapa.
 
Unajua queenkami hana kawaida ya kujivinjari kwa sana humu JF....lakini hii mada haijampita. I wonder why? Labda unahatarisha maslahi yake...

Yapi sasa. . .???!
We unajua kambi yake iko wapi?
 
ha ha ha
umenichekesha hadi nimepaliwa
na kweli, tunahitaji maelezo ya kutosha
kabla wengine hatujapata heart attack

Hakika kuna hidden meaning hapo....tunahitaji si conference call peke yake...twahitaji na webinar kabisa!
 

Hapo maroon bold, kumbe upo kwenye searching wangu....
Nilikurupuka bila kuona lol

Kwahiyo wewe hujitutumuia?

Hhhm what kinda music?

Mi sijioni, hivi najitutumua uh??
Sipendi kujitutumua kweli....
Sasa si unajua studio we got a range of music genre... unajipimia tu...
 
Hapo maroon bold, kumbe upo kwenye searching wangu....
Nilikurupuka bila kuona lol



Mi sijioni, hivi najitutumua uh??
Sipendi kujitutumua kweli....
Sasa si unajua studio we got a range of music genre... unajipimia tu...
Kwahiyo wewe hujioni ni gentleman?

Interesting. . . itabidi nije kukutembelea siku moja nitoe na single kabisa.
 
..@Red, Dah tangu nimejiunga JF sijawahi kuona Mwanadada anafunguka kiasi hiki, haya ni Mapenzi halisi kwa huyo XXXX JF Gentleman.
Hey,Gentleman, who ever y're. Y're very lucky.
 
..@Red, Dah tangu nimejiunga JF sijawahi kuona Mwanadada anafunguka kiasi hiki, haya ni Mapenzi halisi kwa huyo XXXX JF Gentleman.
Hey,Gentleman, who ever y're. Y're very lucky.
Hahahaha. . .Kivumah hushangai mdada kufunguka? Maana mmezoea nyie ndio wafungukaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…