..@Red, Dah tangu nimejiunga JF sijawahi kuona Mwanadada anafunguka kiasi hiki, haya ni Mapenzi halisi kwa huyo XXXX JF Gentleman.
Hey,Gentleman, who ever y're. Y're very lucky.
Kwahiyo wewe hujioni ni gentleman?
Interesting. . . itabidi nije kukutembelea siku moja nitoe na single kabisa.
A true lady deserves a true gentleman viceversa is true.
Weee mi sina bass bana. . . nna sauti nyororo kama chiriku.LolzzNa wewe nawe.... hapo tunazungumzia "kujitutumua" kwanza...
Yah njoo, natafuta watu wa back vocal kwa track flan ya soul....
Itakuwa poa sana kupata bass yako
Hahahaha. . . .
It kinda sucks though. . . honyeshi hata kuguswa.
Wewe ndio kila kitu kwangu mpenzi Lizzy
kweli watu na fani zenu
imebidi urejiste id mpya kwa ajili ya sredi moja tu
weye noumer!!!
Kaniangusha kweli. . . . .
Kaniangusha kweli. . . . .