GenZ wadhibitiwe vikali vinginevyo Kenya itadumaa na kusinyaa kiuchumi

GenZ wadhibitiwe vikali vinginevyo Kenya itadumaa na kusinyaa kiuchumi

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
kadiri muda unavyokwenda wanagawanyika na kupingana wao kwa wao, wanapoteza malengo yao ya msingi waliyokua wakihitaji yazingatiwe na kufanyiwa kazi na Serikali. hivi sasa wanapoteza uelekeo kabisa kutoka maandamano ya amani hadi maandamano ya ghasia, uporaji na uharibifu..

kiufupi,
madai mapya wanayoyaibua sasa, ni sawa na mtoto anaedeke.
unamptaia kila anacholilia, lakini bado ndio anazidisha kilio...

hii si sawa,
Lazima washikishwe adabu. ni mazoea na tabia mbaya hiyo. kwani Taifa la Kenya ni la vijana peke yake?

hao vijana wadhibitiwe vikali vinginevyo Kenya itadumaa na kusinyaa kiuchumi, kisiasa na kijamii, halafu patakua na kazi nzito sana na ya muda mrefu kuijenga upya..

Mungu Ibariki Kenya,
Mungu Ibariki Africa Mashariki.
 
kadiri muda unavyokwenda wanagawanyika na kupingana wao kwa wao, wanapoteza malengo yao ya msingi waliyokua wakihitaji yazingatiwe na kufanyiwa kazi na Serikali. hivi sasa wanapoteza uelekeo kabisa kutoka maandamano ya amani hadi maandamano ya ghasia, uporaji na uharibifu..

kiufupi,
madai mapya wanayoyaibua sasa, ni sawa na mtoto anaedeke.
unamptaia kila anacholilia, lakini bado ndio anazidisha kilio...

hii si sawa,
Lazima washikishwe adabu. ni mazoea na tabia mbaya hiyo. kwani Taifa la Kenya ni la vijana peke yake?

hao vijana wadhibitiwe vikali vinginevyo Kenya itadumaa na kusinyaa kiuchumi, kisiasa na kijamii, halafu patakua na kazi nzito sana na ya muda mrefu kuijenga upya..

Mungu Ibariki Kenya,
Mungu Ibariki Africa Mashariki.
we were killed and harassed in the first demand
therefore our demand changed
this is our country not leaders country
 
kadiri muda unavyokwenda wanagawanyika na kupingana wao kwa wao, wanapoteza malengo yao ya msingi waliyokua wakihitaji yazingatiwe na kufanyiwa kazi na Serikali. hivi sasa wanapoteza uelekeo kabisa kutoka maandamano ya amani hadi maandamano ya ghasia, uporaji na uharibifu..

kiufupi,
madai mapya wanayoyaibua sasa, ni sawa na mtoto anaedeke.
unamptaia kila anacholilia, lakini bado ndio anazidisha kilio...

hii si sawa,
Lazima washikishwe adabu. ni mazoea na tabia mbaya hiyo. kwani Taifa la Kenya ni la vijana peke yake?

hao vijana wadhibitiwe vikali vinginevyo Kenya itadumaa na kusinyaa kiuchumi, kisiasa na kijamii, halafu patakua na kazi nzito sana na ya muda mrefu kuijenga upya..

Mungu Ibariki Kenya,
Mungu Ibariki Africa Mashariki.
Huna moral authority hiyo wakat uko bongo umejifungia somewhere na hujui changamoto zao
 
kadiri muda unavyokwenda wanagawanyika na kupingana wao kwa wao, wanapoteza malengo yao ya msingi waliyokua wakihitaji yazingatiwe na kufanyiwa kazi na Serikali. hivi sasa wanapoteza uelekeo kabisa kutoka maandamano ya amani hadi maandamano ya ghasia, uporaji na uharibifu..

kiufupi,
madai mapya wanayoyaibua sasa, ni sawa na mtoto anaedeke.
unamptaia kila anacholilia, lakini bado ndio anazidisha kilio...

hii si sawa,
Lazima washikishwe adabu. ni mazoea na tabia mbaya hiyo. kwani Taifa la Kenya ni la vijana peke yake?

hao vijana wadhibitiwe vikali vinginevyo Kenya itadumaa na kusinyaa kiuchumi, kisiasa na kijamii, halafu patakua na kazi nzito sana na ya muda mrefu kuijenga upya..

Mungu Ibariki Kenya,
Mungu Ibariki Africa Mashariki.
wanazidi kupaa nasikia bangladesh wameanza wanasubiriwa hapa tanzania tu. na wamesema wakikukamata wewe utaomba popobawa hakubake sio wale mabaunsa wa kukodisha
 
Na kama hutaki huku Generation ijayo (Generation Alpha) ifanye hicho kinachofanyika huko huu ni wakati wa kuhakikisha watunga sera wanakuja na sera za kuhakikisha guarantee ya watu kupata basic needs (na hilo litakuja kwa kuwa na sera za watu kupata ujira wa kutosha)
 
Na kama hutaki huku Generation ijayo (Generation Alpha) ifanye hicho kinachofanyika huko huu ni wakati wa kuhakikisha watunga sera wanakuja na sera za kuhakikisha guarantee ya watu kupata basic needs (na hilo litakuja kwa kuwa na sera za watu kupata ujira wa kutosha)
nimeuona hadi kiongozi wa upinzani nae anakwepa kuunga mkono makataa ya gen z,

kwasababu vijana, hataki mazungumzo, wala hawasikii chochote kwa yeyote, na kwahivyo hata akipata fursa yeye hakuna kitakachobadilika fujo kitaendelea tu kwasabbu, nchi ilishaharibika kitambo na hayupo malaika wa kuinyoosha hivi sasa hata iweje 🐒
 
wanazidi kupaa nasikia bangladesh wameanza wanasubiriwa hapa tanzania tu. na wamesema wakikukamata wewe utaomba popobawa hakubake sio wale mabaunsa wa kukodisha
gen z hawakuskilizi hadi wewe shetani, sijui kwavile na wao kwa vile wamepandisha mashetani dah,

wamefikia hatua mbaya sana aise!🐒
 
Back
Top Bottom