GenZ wadhibitiwe vikali vinginevyo Kenya itadumaa na kusinyaa kiuchumi

GenZ wadhibitiwe vikali vinginevyo Kenya itadumaa na kusinyaa kiuchumi

walikua na hoja za maana mno na zenye mashiko na zilisikilizwa na nyingine kutekelezwa kabisa....

ukatolewa wito na fursa ya majadiliano wamedidinda, wakaibua madai mapya sasa ambayo yatabadilisha kabisa sura ya maandamano ya amani kua ya ghasia....

na ikawa ndiyo mwanzo wa kupoteza uelekeo, zaidi sana kupoteza malengo.
Na sasa hivi wanagawanyika wao kwa walo, pole pole sura za kikabila zimeanza kujitikeza....

na katika ujumla wao wanaonekana ni majambazi, waporaji, wavamia maduka, wezi vibaka na mabandits yasiyo elewa yanataka niini 🐒

useless kabisa 🐒
Unajadiliana vipi na mtu muongo na mzandiki..., wamekuwa wakidanganywa kila leo hence watu kukosa imani na wanasiasa..., hakuna mtu anatetea uporaji ila kutetea watu waliosababisha hadi hayo maandamo in the first place makes me wonder kama wewe sio part ya hao majambazi....

Long term Cure ya kuhakikisha haya mambo hayatokei ni wanasiasa kuacha ulaghai na kuwa watumishi na sio watawala....
 
Unajadiliana vipi na mtu muongo na mzandiki..., wamekuwa wakidanganywa kila leo hence watu kukosa imani na wanasiasa..., hakuna mtu anatetea uporaji ila kutetea watu waliosababisha hadi hayo maandamo in the first place makes me wonder kama wewe sio part ya hao majambazi....

Long term Cure ya kuhakikisha haya mambo hayatokei ni wanasiasa kuacha ulaghai na kuwa watumishi na sio watawala....
muongo vip ndio ana miaka mi2 tu mamlakani gentleman? 🐒

mnapaswa kua na Imani na Mwenyezi Mungu pekee, kinyume cha hapo ni ushirikina na uchawi 🐒

Politics is all about interests,
huna interest na kinachoendelea chini ya kiongozi alieko, unayo haki kukubadili hali hiyo na uongozi huo kwa wakati muafaka ukifika, sio kujiamulia tu anytime as you wish 🐒
 
embu elezea kidogo kuhusu Gen Zs tafadhali 🐒
GenZ wapo frustrated na ahadi hewa za kipindi cha uchaguzi,na waliridhia kupiga kura kwa aliyeahidi yeye ni mpambanaji kwa ajili ya walalahoi,baada ya kufanikiwa akawageuza aliowapa ahadi hewa kuwa ng'ombe wakondefu wa maziwa asio hata hakikisha wanapata nyasi ili angalao wapate nguvu ya kutoa maziwa.Matokeo yake wakaamua akisogelea nyonyo ni mwendo wa kung'oa dental formula ya jambazi mtoza ushuru.
 
GenZ wapo frustrated na ahadi hewa za kipindi cha uchaguzi,na waliridhia kupiga kura kwa aliyeahidi yeye ni mpambanaji kwa ajili ya walalahoi,baada ya kufanikiwa akawageuza aliowapa ahadi hewa kuwa ng'ombe wakondefu wa maziwa asio hata hakikisha wanapata nyasi ili angalao wapate nguvu ya kutoa maziwa.Matokeo yake wakaamua akisogelea nyonyo ni mwendo wa kung'oa dental formula ya jambazi mtoza ushuru.
Inasikitisha sana msomi kufight wrong enemy with wrong and local weapons dah, elimu bado sio mkombozi sana wa kifikra kenya na huenda maeneo mengine Africa Mashariki 🐒

kufilisika na kufikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbadala za kutafuta suluhu ya changamoto zako ni jambo baya na hatari sana la kuweza kuathiri au pengine kuangamiza maisha mwenyewe bila faida yoyote 🐒

bado fursa ya meza ya mazungumzo iko wazi, wakiendelea kudinda,
watashindana na serikali lakini hawatashinda 🐒
 
Inasikitisha sana msomi kufight wrong enemy with wrong and local weapons dah, elimu bado sio mkombozi sana wa kifikra kenya na huenda maeneo mengine Africa Mashariki 🐒

kufilisika na kufikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbadala za kutafuta suluhu ya changamoto zako ni jambo baya na hatari sana la kuweza kuathiri au pengine kuangamiza maisha mwenyewe bila faida yoyote 🐒

bado fursa ya meza ya mazungumzo iko wazi, wakiendelea kudinda,
watashindana na serikali lakini hawatashinda 🐒
Sasa sijui huwa chawa wa bongo,walakwa kamba wabongo na sii hasaa za bongo zinatafuta nini.Kwani GenZ kwa hakika mazingira yao yalikuwa na ni rafiki mara nyingi sana ukilinganisha na wasioamini katika sanduku la kura na mambo mengine mengi yenye maslahi kwa taifa.
 
Matatizo yapo mengi,hata kuwalea chawa,wala kwa kamba ni tatizo na mzigo kwa taifa hili achilia mbali,Sii hasaaa(siasa za bongo)
Serikali na taasisi mbalimbali zinaongozwa na wanadamu kama wewe...

matatizo ni sehemu ya maisha ya mwanadamu.
ni vizuri kutumia vipawa tulojaaliwa na Mungu, utashi na elimu za darasani kutatua changamoto mbalimbali na matizo yanayotukumba....

kutumia mihemko, jeuri, kiburi na ubishi kuna athari, na matokeo yake si zote si mazuri na yanafahamika....

tatizo la Afya ya akili ni pamoja kuwaza, kuamua, kutenda na kufanya mambo yanayokuathiri wewe mwenyewe 🐒
 
Inasikitisha sana msomi kufight wrong enemy with wrong and local weapons dah, elimu bado sio mkombozi sana wa kifikra kenya na huenda maeneo mengine Africa Mashariki 🐒

kufilisika na kufikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbadala za kutafuta suluhu ya changamoto zako ni jambo baya na hatari sana la kuweza kuathiri au pengine kuangamiza maisha mwenyewe bila faida yoyote 🐒

bado fursa ya meza ya mazungumzo iko wazi, wakiendelea kudinda,
watashindana na serikali lakini hawatashinda 🐒
Sio kweli hapa sharti mtoza ushuru zakayo awe mpole na atumie busara vya kutosha na ikibidi awaombe msamaha GenZ kwa kuwa kutofikia malengo na makubaliano yao.
 
Sasa sijui huwa chawa wa bongo,walakwa kamba wabongo na sii hasaa za bongo zinatafuta nini.Kwani GenZ kwa hakika mazingira yao yalikuwa na ni rafiki mara nyingi sana ukilinganisha na wasioamini katika sanduku la kura na mambo mengine mengi yenye maslahi kwa taifa.
binafsi siamini kwenye unyumbu wala uchawa, hizo narratives sioni kama zinaimpact katika kuleta mageuzi labda kwaajili ya kupandishana mori, mihemko na ghadhab ambazo mwishowe ni kuporomosheana mitusi tu 🐒

muhimu ni aina ya mawazo ulonayo yana hekima na busara za kuungwa mkono na kuunganisha uma?


Lazima pawepo common interests and common goal za kuunganisha umma sifahamu kama kuna brain za aina hiyo bongo 🐒
 
Sio kweli hapa sharti mtoza ushuru zakayo awe mpole na atumie busara vya kutosha na ikibidi awaombe msamaha GenZ kwa kuwa kutofikia malengo na makubaliano yao.
Rais malaika wa kutimiza ahadi ndani ya miaka miwili hajazaliwa bado Duniani 🐒
 
Serikali na taasisi mbalimbali zinaongozwa na wanadamu kama wewe...

matatizo ni sehemu ya maisha ya mwanadamu.
ni vizuri kutumia vipawa tulojaaliwa na Mungu, utashi na elimu za darasani kutatua changamoto mbalimbali na matizo yanayotukumba....

kutumia mihemko, jeuri, kiburi na ubishi kuna athari, na matokeo yake si zote si mazuri na yanafahamika....

tatizo la Afya ya akili ni pamoja kuwaza, kuamua, kutenda na kufanya mambo yanayokuathiri wewe mwenyewe 🐒
huu ushauri wa kijinga ndo umetufiksha katika umasikini, watu wachache kufaidika kwa kujipendekeza kwetu kwao
 
huu ushauri wa kijinga ndo umetufiksha katika umasikini, watu wachache kufaidika kwa kujipendekeza kwetu kwao
mihemko na ghadhabu mara zote haziwezi kusaidia kutatua chochote, hua ni kama mazoezi tu ya kuporomosha matusi.....

hata hivyo,
muerevu anafaa kuja na mawazo mapya na fikra mbadala sio kubeza tu kwa dhihaka....

hiyo ni useless 🐒
 
muongo vip ndio ana miaka mi2 tu mamlakani gentleman? 🐒
Kabla ya kuingia madarakakani alikuwa sayari gani ? Huyu ni part ya awamu zote zilizopita na after all kutegemea mtu aliyepo madarakani ndio afanye vitu ni kukosa dira kama taifa..., inabidi awepo pale kusimamia long term plans ambazo bado zipo... By the way katika miaka hii tuonaona kinachoendelea ni matozo bin mikopo bila kuona value for money na sera za kwamba hakuna tunachoweza zaidi ya kuleta wengine waje wafanye kwa mgongo wa kufungua nchi sioni ni vipi hili time bomb la watu kuendelea kukosa ajira zenye ujira jinsi litakavyotatuliwa
mnapaswa kua na Imani na Mwenyezi Mungu pekee, kinyume cha hapo ni ushirikina na uchawi 🐒
Hapa hatupo kanisani wala hekaluni na hao ni watumishi wetu wanahitaji ku deliver hayo ya Imani Mungu na Uchawi kila mtu atajuana nayo siku akifa, tukiwa duniani they need to solve people's problems and as of now most people have neither enough income to cater for their basic needs nor security for their old age.... (Hence no future prospects)
Politics is all about interests,
huna interest na kinachoendelea chini ya kiongozi alieko, unayo haki kukubadili hali hiyo na uongozi huo kwa wakati muafaka ukifika, sio kujiamulia tu anytime as you wish 🐒
There is a Social contract between wenye nchi (wananchi) na watumishi wao (Viongozi) kwamba washike dhamana ili wawatimizie matakwa yao..., sasa kama hawa watumishi hawatimizi hadi kuacha loophole ya baadhi ya watu kufanya fujo au kuwa na sababu (reason ya kufanya hivyo) siwezi kuacha kuwatumia lawama hawa viongozi kwa kusababisha yanayokea through their incompetence... (Ukizingatia mabadiliko yamekuwa ni Same Script Different Cast)

Now kuna jambo ambalo haujaliona na mimi ndio nataka nikufumbue macho, hawa mafukara wanaozidi mitaani wasio na hope yoyote ya kesho wala chochote cha kupoteza leo, siku wakiingia mtaani hilo janga ambalo wanalichuma walamba asali wa sasa sadly litaliwa na sisi wote hata ambao hatukushiriki kwenye huu uzandiki....
 
Kabla ya kuingia madarakakani alikuwa sayari gani ? Huyu ni part ya awamu zote zilizopita na after all kutegemea mtu aliyepo madarakani ndio afanye vitu ni kukosa dira kama taifa..., inabidi awepo pale kusimamia long term plans ambazo bado zipo... By the way katika miaka hii tuonaona kinachoendelea ni matozo bin mikopo bila kuona value for money na sera za kwamba hakuna tunachoweza zaidi ya kuleta wengine waje wafanye kwa mgongo wa kufungua nchi sioni ni vipi hili time bomb la watu kuendelea kukosa ajira zenye ujira jinsi litakavyotatuliwa

Hapa hatupo kanisani wala hekaluni na hao ni watumishi wetu wanahitaji ku deliver hayo ya Imani Mungu na Uchawi kila mtu atajuana nayo siku akifa, tukiwa duniani they need to solve people's problems and as of now most people have neither enough income to cater for their basic needs nor security for their old age.... (Hence no future prospects)

There is a Social contract between wenye nchi (wananchi) na watumishi wao (Viongozi) kwamba washike dhamana ili wawatimizie matakwa yao..., sasa kama hawa watumishi hawatimizi hadi kuacha loophole ya baadhi ya watu kufanya fujo au kuwa na sababu (reason ya kufanya hivyo) siwezi kuacha kuwatumia lawama hawa viongozi kwa kusababisha yanayokea through their incompetence... (Ukizingatia mabadiliko yamekuwa ni Same Script Different Cast)

Now kuna jambo ambalo haujaliona na mimi ndio nataka nikufumbue macho, hawa mafukara wanaozidi mitaani wasio na hope yoyote ya kesho wala chochote cha kupoteza leo, siku wakiingia mtaani hilo janga ambalo wanalichuma walamba asali wa sasa sadly litaliwa na sisi wote hata ambao hatukushiriki kwenye huu uzandiki....
kwahiyo zile executive orders za mara kwa mara zilikua ni za nini sasa kutoka kwa mkuu wake, kama sio kuficha madudu yalikua yakifanywa na mtangulizi wake?🐒

hata aje malaika sijui kutoka wap hawez ongoza Kenya bila tozo gentleman,
nchi imefikia ukomo wa kukopa, na haikopesheki tena na inatakiwa kulipa madeni.....
Mkataba wa Ruto na wananchi wa Kenya ni wa miaka mi5, hii miwili hawa wadekaji wameitoa wap, au kuna anaewatuma?
hayupo atakubali kuongoza kenya endapo ruto atabanduliwa mamlakani hivi sasa, na endapo atashika uskani hatadumu zaidi ya miezi mi3 atabanduliwa vile vile 🐒


bila kujifunga mkanda,
Kenya haiwezekani kujikwamua ilipokwamia hata wafanyaje 🐒

kwahiyo nyinyi mmeketi mahali pa siri wenzenu wanachezea virungu ili nyinyi mje kuinjoy tu 🐒
 
Back
Top Bottom