Geoff Lea: Yanga wanaruhusu sana kufikiwa na wapinzani Langoni mwao

Geoff Lea: Yanga wanaruhusu sana kufikiwa na wapinzani Langoni mwao

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Mchambuzi wa kabumbu geoff lea ameseyasem haya kupitia kipindi cha michezo cha Croen sports

Kuna udhaifu ambao yanga wanao hivi sasa, inabidi uwe mwepesi kuling’amua hili. Yanga Sc wanaruhusu sana kufikiwa na mpinzani tofauti na yanga Miguel Gamondi”

“Mfano hata jana, Al Hilal walikuwa wanamsogelea sana Yanga…. Kwa hiyo utofauti wa Yanga ya Gamondi na Ramovic, ni kwamba Yanga ya Gamondi haikuwa inaruhusu sana kufikiwa ila ya Ramovic inaruhusu sana kufikiwa”

Huyu ni mimi sasa:Kwa mtizamo huu na ninavyowajua MC Alger walivyo na hatari kwenye lango la mpinzani, sina budi kusema MC Alger wataibuka na ushindi mnono na watatinga hatua ya robo fainal kibabe sana.
20241228_151958.jpg
 
Mchambuzi wa kabumbu geoff lea ameseyasem haya kupitia kipindi cha michezo cha Croen sports

Kuna udhaifu ambao yanga wanao hivi sasa, inabidi uwe mwepesi kuling’amua hili. Yanga Sc wanaruhusu sana kufikiwa na mpinzani tofauti na yanga Miguel Gamondi”

“Mfano hata jana, Al Hilal walikuwa wanamsogelea sana Yanga…. Kwa hiyo utofauti wa Yanga ya Gamondi na Ramovic, ni kwamba Yanga ya Gamondi haikuwa inaruhusu sana kufikiwa ila ya Ramovic inaruhusu sana kufikiwa”

Huyu ni mimi sasa:Kwa mtizamo huu na ninavyowajua MC Alger walivyo na hatari kwenye lango la mpinzani, sina budi kusema MC Alger wataibuka na ushindi mnono na watatinga hatua ya robo fainal kibabe sana.
Asante Mungu kwa kunifanya nisiwe miongoni mwa mbumbumbu
 
Vijana warage inabid tuwabebe kwamamia wakasaidie kizima moto Los Angeles
 
Mchambuzi wa kabumbu geoff lea ameseyasem haya kupitia kipindi cha michezo cha Croen sports

Kuna udhaifu ambao yanga wanao hivi sasa, inabidi uwe mwepesi kuling’amua hili. Yanga Sc wanaruhusu sana kufikiwa na mpinzani tofauti na yanga Miguel Gamondi”

“Mfano hata jana, Al Hilal walikuwa wanamsogelea sana Yanga…. Kwa hiyo utofauti wa Yanga ya Gamondi na Ramovic, ni kwamba Yanga ya Gamondi haikuwa inaruhusu sana kufikiwa ila ya Ramovic inaruhusu sana kufikiwa”

Huyu ni mimi sasa:Kwa mtizamo huu na ninavyowajua MC Alger walivyo na hatari kwenye lango la mpinzani, sina budi kusema MC Alger wataibuka na ushindi mnono na watatinga hatua ya robo fainal kibabe sana.
Hakuna timu isiyofikiwa Duniani, hebu msituchoshe na Ucha mbuzi wenu huko. Kikubwa wanazuia kufungwa.
 
Sijui kwanini wachambuzi wanakwepa kuzungumzia Attacking Force ya Yanga. Maana ukiifunga na yenyewe inakufunga mara mbili.

Hata Bayern Munich, Liverpool zote zinafikiwa sana na wapinzani lakini udhaifu unafichwa kwenye idadi ya magoli wanayofunga.

Wenger alikua na msemo wake anasema, "Kama tutafunga magoli mengi kupita wapinzani wetu basi tutashinda mechi.".
 
Mchambuzi wa kabumbu geoff lea ameseyasem haya kupitia kipindi cha michezo cha Croen sports

Kuna udhaifu ambao yanga wanao hivi sasa, inabidi uwe mwepesi kuling’amua hili. Yanga Sc wanaruhusu sana kufikiwa na mpinzani tofauti na yanga Miguel Gamondi”

“Mfano hata jana, Al Hilal walikuwa wanamsogelea sana Yanga…. Kwa hiyo utofauti wa Yanga ya Gamondi na Ramovic, ni kwamba Yanga ya Gamondi haikuwa inaruhusu sana kufikiwa ila ya Ramovic inaruhusu sana kufikiwa”

Huyu ni mimi sasa:Kwa mtizamo huu na ninavyowajua MC Alger walivyo na hatari kwenye lango la mpinzani, sina budi kusema MC Alger wataibuka na ushindi mnono na watatinga hatua ya robo fainal kibabe sana.
Kwahiyo ulitaka wachezaji wa alhilal wasifike langoni kwa yanga au sio?
 
Back
Top Bottom