Geoff Lea: Yanga wanaruhusu sana kufikiwa na wapinzani Langoni mwao

Geoff Lea: Yanga wanaruhusu sana kufikiwa na wapinzani Langoni mwao

Geoff Leah yupo sahihi.
Yanga ikipoteza mpira adui anafika kirahisi kwenye 18 ya Yanga.
Nafikiri huu Ni udhaifu wa mtindo wa soka la gengenpressing au heavy metal football ya kijerumani.
Ilikuwa hivi Liverpool FC ya Jurgen Klopp.
 
Na isingekuwa Hersi kuwapa pesa ya kutosha wale jamaa jana. Basi leo tungekuwa tunahesabu magoli kwa calculator
Makolo wa Ibenge mnahaha sana kutafuta kuhalalisha kuwa Yanga imegawa mgao..!! Na haya mnayaropoka huku mkiwa mmepigwa mara nne mfululizo na Yanga. Sasa sijui na nyie mlinunuliwa mara zote nne au la..!!

1. Yanga ikifungwa;
Hawajui soka
timu haichezi kitimu
Kila mchezaji anajichezea ajuwavyo
Yanga ni mbovu jamani

2. Yanga ikishinda
Bahasha
tiGo pesa
Marefa wamehongwa
GSM anadhamini timu nyingi
wale ni tawi la Yanga
Hawa si wale wa zamani
Ibenge bahasha
Kudra za mwenyezi Mungu
etc..

Ulichokiandika ni muendelezo wa umbumbumbu, ungada, udunduka na umakolo wenu wa kila Yanga inaposhinda.
 
Sasa watafungwaje bila wapinzani wao kuwafikia langoni? Jeff aache upuuzi.
 
Msimu uliopita kuifunga Yanga kwenye open play ilikuwa shughuli pevu lakini sasa inafungika kirahisi mno. Naona sababu ni mbili; kwanza mabeki wa pembeni hasa Boka wamepwaya sana, pili Yanga ya sasa haishambulii kwa nidhamu/tahadhari. Misimu iliyo pita Yanga walikuwa wanashambulia bila kuharibu shape yao ya ulinzi hasa viungo tofauti na sasa wanajiachia tu. Nafikiri coach acheze ma mshambuliaji mmoja badala ya kutumia wawili.
 
Huyo sio mchambuzi, ni shabiki wa 5imba, kipindi yanga yupo shirikisho kelele kila siku kuombea Yanga itolewe. Leo hii timu lake lipo huko anajifanya kuishauri Yanga...timu isiyofikiwa ni ule mchezo wa cricket ambao katikati kuna uzio, kati ya mchezaji na mchezaji hata ufanyeje huendi upande wa menzio ila unazungumzia mpira alafu unalalama kufikiwa we si chizi
 
Msimu uliopita kuifunga Yanga kwenye open play ilikuwa shughuli pevu lakini sasa inafungika kirahisi mno. Naona sababu ni mbili; kwanza mabeki wa pembeni hasa Boka wamepwaya sana, pili Yanga ya sasa haishambulii kwa nidhamu/tahadhari. Misimu iliyo pita Yanga walikuwa wanashambulia bila kuharibu shape yao ya ulinzi hasa viungo tofauti na sasa wanajiachia tu. Nafikiri coach acheze ma mshambuliaji mmoja badala ya kutumia wawili.
Kumbe alikuwa hatumii bahasha? Tushike lipi makolo?
 
Na sasa anajamba tu na bando lake la jero manake muda ndio huu ameshafagia uwanja wa shemeji yake sasa katulia anajamba huku anachati jamii forum..
Hahahahaha haaaa hahaaaaaaaaaaaa.....
 
Wale Al hilal ni Waziri Sana, winga zao zina Kasi kuliko Kasi walonayo Wachezaji wa Yanga, ndo maana walitupiga bao 2 wakati Mpira tulimiriki sisi...!

Al hilal ikikutana na Team kama Al ahly inayocheza Mpira usio na kazi wanaweza kuwadumaza...!

Hawana beki nzuri, hawana viungo Waziri, ila Wana winga zote Hatari, na ndo maana viungo ama mabeki wakipata mipira, wanawatupia mawinga wao...!

Kama yule winga Mburundi anafaa kucheza Yanga kabisa.

Wacha tuone robo fainali watacheza na nani ndo utajua kile nasema....!
.
 
Geoff Leah yupo sahihi.
Yanga ikipoteza mpira adui anafika kirahisi kwenye 18 ya Yanga.
Nafikiri huu Ni udhaifu wa mtindo wa soka la gengenpressing au heavy metal football ya kijerumani.
Ilikuwa hivi Liverpool FC ya Jurgen Klopp.
Timu gani ambayo haifikiwi?
 
Mchambuzi wa kabumbu geoff lea ameseyasem haya kupitia kipindi cha michezo cha Croen sports

Kuna udhaifu ambao yanga wanao hivi sasa, inabidi uwe mwepesi kuling’amua hili. Yanga Sc wanaruhusu sana kufikiwa na mpinzani tofauti na yanga Miguel Gamondi”

“Mfano hata jana, Al Hilal walikuwa wanamsogelea sana Yanga…. Kwa hiyo utofauti wa Yanga ya Gamondi na Ramovic, ni kwamba Yanga ya Gamondi haikuwa inaruhusu sana kufikiwa ila ya Ramovic inaruhusu sana kufikiwa”

Huyu ni mimi sasa:Kwa mtizamo huu na ninavyowajua MC Alger walivyo na hatari kwenye lango la mpinzani, sina budi kusema MC Alger wataibuka na ushindi mnono na watatinga hatua ya robo fainal kibabe sana.
Kufikiwa langoni siyo tatizo huo ndiyo mpira, sidhani kama kuna timu isiyofikiwa langoni... Na hapa namaanisha eneo la ndani ya 18! Timu nyingi kwa sasa zinaona ni bora kufikiwa golini lakini wasitoe mwanya kwa mpinzani wa kupiga kulenga goli, kuliko kupishana na kujifanya kushambulia na kuacha wachezaji wachache langoni. Tuusome mpira na tuache ushabiki. Makocha wote ni wataalamu na kila mmoja ana mbinu zake kwa kila timu anayokutana nayo kwa kuusoma mchezo wao. Kuhusu MC Alger na Yanga, tusubiri muda utakapofika kwani hata mechi hii ya Al Hilal yalishasemwa mengi...
 
Wewe ndio mpira hujui hata kidogo yani mc alger wanajua kufika golini kweli mpira umevamiwa na vibwengo..
Kama hawafiki golini waliwabanduaje 2 mtungi kule Algers.Au umekumbwa na Amnesia?
 
Back
Top Bottom