OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
huyu kuna kitu kakalia sio burr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
weka link ya hizo makala tuone hayo malalamiko yako kama yana ukweli wowote kijanaKabisa makanjanja wengi huwa wanaishia kuongea redioni instagram ila yeye kaipaka kinyesi simba kwenye magazeti ya south africa na online tv huku akidai kamnukuu Abdi banda na pia viongozi wa serikali akisema wanashirikiana na simba kununua marefa....kijana huyu akitoa ushahidi CAF anaweza kusababisha maafisa wengi wa serikali kufungwa jela kabisa na simba kufungiwa..ANA AKILI NYINGI SANA
Kulikoni tena,nijuavyo mimi huyu Geofrey Lea, oscar na Jemadari ni simba damu, msameheni tu mtu wenu huy
Jeff Leah mbona siku ya Jumatatu baada ya mechi yenu Simba aliongea vizuri tu na kumshutumu kocha wa orlando katoa malalamiko ambayo si ya kweli,weka ushahidi wa kuthibitisha yeye ndio aliyeandika hizo makala tupate uhakika,Geofrey ni miongoni mwa wachambuzi bora hapa Tanzania na huwa ni mkweli nyie ndio mnaoua mpira wa bongo kwa kutotaka kuambiwa ukweli.
Kamuulize Abi banda yeyeye mwenyewe anashanga ahabari zinaruka ziki cite source ni yeye kumbe ni kanjanja refu la EFMweka link ya hizo makala tuone hayo malalamiko yako kama yana ukweli wowote kijana
Labda LEAH mwingine siyo Leah huyo, halafu kwanini amlalamikike kocha wa Orlando wakati yeye vyombo vya habari south africa vimenza kumnukuu tangu last year akisema simba inatumia mbinu chafu? na makala kaandika kwenye the kick mwak ajana na mwaka huu?Jeff Leah mbona siku ya Jumatatu baada ya mechi yenu Simba aliongea vizuri tu na kumshutumu kocha wa orlando katoa malalamiko ambayo si ya kweli,weka ushahidi wa kuthibitisha yeye ndio aliyeandika hizo makala tupate uhakika,Geofrey ni miongoni mwa wachambuzi bora hapa Tanzania na huwa ni mkweli nyie ndio mnaoua mpira wa bongo kwa kutotaka kuambiwa ukweli.
kwa hiyo link hakuna tuone alipowachafua Simba?Labda LEAH mwingine siyo Leah huyo, halafu kwanini amlalamikike kocha wa Orlando wakati yeye vyombo vya habari south africa vimenza kumnukuu tangu last year akisema simba inatumia mbinu chafu? na makala kaandika kwenye the kick mwak ajana na mwaka huu?
Yaani baada ya kuwaharibu kisaiokolojia hao wasauzi wakajihisi wanakuja jehanamu leo aje kuwashangaa tena? anywaya napoteza muda kukufanulia kijana wako katangaza leo na kwa masikio yangu nimemsikia kwamba DAWA YA MOTO NI MOTO inaoenakana bado anazo ammunitions za kutosha kuipakaza kinyesi simba
Sisi tunamtakia kila la heri katika jukumu lake hilo zito alilojitwisha sijui katwishwa?
Amewaambia mtafuteni mtaani kama nyinyi wanaume kweli, machoko tu.hapa anacomfirm bange zake
choko yule. tutajuaje alipo kama insta page yake kufunga tusicomment 🤣🤣Amewaambia mtafuteni mtaani kama nyinyi wanaume kweli, machoko tu.
Sasa muache kulialia hapa JF mwenzenu anawasubili kitaa na siyo keyboard warrior.😄😄
Watu wanamuomba atoe location hajibu na anafunga comments za instaAmewaambia mtafuteni mtaani kama nyinyi wanaume kweli, machoko tu.
Sasa muache kulialia hapa JF mwenzenu anawasubili kitaa na siyo keyboard warrior.😄😄
Wachambuzi njaa kama huyo hawawezi kuivuruga Simba.eti na huyu Lea nae ni mchambuzi,dah! bongo inafilisika kwa kilajambo.
Mtajuaje alipo si mumvizie hapo EFM akitoka studio?choko yule. tutajuaje alipo kama insta page yake kufunga tusicomment 🤣🤣
choko yule. tutajuaje alipo kama insta page yake kufunga tusicomment 🤣🤣
Location si TVE/EFM. Nendeni mkamsubiri anapoingia au kutokaWatu wanamuomba atoe location hajibu na anafunga comments za insta
Amewaambia mtafuteni mtaani kama nyinyi wanaume kweli, machoko tu.
Sasa muache kulialia hapa JF mwenzenu anawasubili kitaa na siyo keyboard warrior.😄😄
Ana jukumu zito la kitaifa la kuichafua simba kimataifa kwenye mitandao na makala kwenye magazeti zisizo na jina la mwandishi, natoa ombi asisumbuliwe ili afanye kazi yake hiyo kwa ufasaha hadi simba sc ifungiwe na hao viongozi wa serikali wanaoshirikiana na simba kununua waamuzi kwa mujibu wa zile makala alizotuma kule south africa wakamatwe woteLocation si TVE/EFM. Nendeni mkamsubiri anapoingia au kutoka
Una uhakika gani kwamba yeye ndio katengeneza hio makala ya Banda?Unajua alichokifanya huyu? na yeye ana deal na teams za sauzi tu huwa anajifanya ni msauzi kabisa haswa akielezea ligi ya kule na kwa taarifa yako huyu ndiye mwandishi wa zile makala zilisemekana kumnukuu Abdi banda zisizo na jina la mwandishi kaanza mechi ya kaizer chiefs kafanya na orlando pirates na anakuambia vita vyake na simba sc vinaendelaa dawa ya moto ni moto
Huyu jamaa yupo too personal anaumia na maisha ya mtuKuna tatizo gani kujifanya yeye Msouth? Kwa nini usiwashangae wanaojifanya Wacongo hadi wanaongea Kicongo, kuna kina Nyani Ngabu wanajifanya ni Wamarekani kumbe ni wasukuma hata vyoo kwao hakuna, wapo wale wanajifanya Wakenya kwa kuongea hadi maandishi yao, wapo wafuga madevu wao wanajiona ni Waarabu pure.