mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,406
- 711
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu watu wanahama kufuata malisho mazuri huu ni utaratibu wa kawaida, watu wanapanda dau...hata wewe kama umeajiriwa na mtu akakuona unafanya vizuri anapanda bei.Clouds ruge alikuwa anaibeba sana.
Kusaga haitendei haki clouds , nguvu kubwa kaiwekea wasafi media..
Yaani tajiri wenu ana kampuni mbili zinazoshindana.. halafu moja anaiwekea nguvu kubwa , lazima wafanyakazi mjisikie vibaya...msepe
Alikaa Azam miaka miwili mkuuHuyu naye kashakua ma*aya WA media, alitoka clouds akaenda Azam hakukaa hata mwaka akarudi tena CMG,Leo kahamia Efm.
Jamaa ana hasira mpaka kamwita ma**ya wakati kwenye haya maisha kuna malengo mawili yaani malengo ya kampuni unayofanyia kazi (hapa utaonyesha uwezo wako wa hali mali katika kufanya kazi) lakini pia kuna malengo binafsi (hapa ndio utaona watu wanahama kutoka kampuni moja kwenda nyingine)Alikaa Azam miaka miwili mkuu
Wasafi mwenye nguvu Ni mondi hata wafanyakazi wa Wasafi hawamfahamu huyo kusaga hapo unamuonea kusaga,kusaga kajikita clouds fm changamoto kubwa ya clouds inachowakuta sasa Ni kukosa program manager mzuri baada tu ruge kufariki yule maganga hamna kitu na Kuna kipindi walimuweka Hadi shaffihdauda kiufupi wanaboronga Sana.Clouds ruge alikuwa anaibeba sana.
Kusaga haitendei haki clouds , nguvu kubwa kaiwekea wasafi media..
Yaani tajiri wenu ana kampuni mbili zinazoshindana.. halafu moja anaiwekea nguvu kubwa , lazima wafanyakazi mjisikie vibaya...msepe
Hawataki kabisa kumwonyesha kwamba Diamond ndio CEO hata kama hisa zake ni chache kidogo ila hawaelewi kwamba unaweza ukawa na hisa kidogo ila jina lako au uzoefu wako katika kazi flani ikakufanya wewe kuwa kiongozi mkuu hata kama hisa zako.Wasafi mwenye nguvu Ni mondi hata wafanyakazi wa Wasafi hawamfahamu huyo kusaga hapo unamuonea kusaga,kusaga kajikita clouds fm changamoto kubwa ya clouds inachowakuta sasa Ni kukosa program manager mzuri baada tu ruge kufariki yule maganga hamna kitu na Kuna kipindi walimuweka Hadi shaffihdauda kiufupi wanaboronga Sana.
@JodokiKalimilo Kitu ambacho wanashindwa kuelewa Ni moja Diamond Ni founder wa Wasafi media na ndio CEO wa Wasafi maamuzi yote ya Wasafi wanafanywa na Diamond kusaga Ni sehemu tu ya wawekezaji lakini Hana mamlaka yoyote ndani ya Wasafi so why uwezi kumkuta board ya Wasafi utamkuta Diamond ndio anatoa maono ya company mfano mzuri kwenye kipindi Cha big Sunday live ndio alikuwa creative production hata ukiwasikiliza wafanyakazi wake Kama maulidi kitege alisema kabisa maamuzi yake ndio yanakuwa final.Ndio maana Diamond ndio anaonekana anafight Sana ku make sure Wasafi media inapiga hatua kubwa.Hawataki kabisa kumwonyesha kwamba Diamond ndio CEO hata kama hisa zake ni chache kidogo ila hawaelewi kwamba unaweza ukawa na hisa kidogo ila jina lako au uzoefu wako katika kazi flani ikakufanya wewe kuwa kiongozi mkuu hata kama hisa zako.
Siku hizi unajitahidi kuwaza, kuna kipindi ulikuwa blinded na WCBWasafi mwenye nguvu Ni mondi hata wafanyakazi wa Wasafi hawamfahamu huyo kusaga hapo unamuonea kusaga,kusaga kajikita clouds fm changamoto kubwa ya clouds inachowakuta sasa Ni kukosa program manager mzuri baada tu ruge kufariki yule maganga hamna kitu na Kuna kipindi walimuweka Hadi shaffihdauda kiufupi wanaboronga Sana.
Sasa mke asinunuliwe gari afu iweje? Aaaah ndoa tamu bhanaclouds wa lipeni vizuri wafanya kazi wenu.
B dozen inasemekana kanunuliwa gari na majizzo.
Nyie wafanya kazi wenu hata baiskeli hamjawanunulia.