Geographia ya SUA

Geographia ya SUA

Ukisema wahadhiri wengi wa SUA ni kina Shomire utakuwa unakosea maana SUA ni taasisi kubwa yenye vitivo na idara kadhaa. Nakushauri ukarejee kufanya tafiti zako ili ujue ni katika idara/vitivo gani ratio ya hao kina shomire ni kubwa au ndogo ukilinganisha na wengine. Hii ni kwasababu zipo baadhi ya idara huwezi mpata mhadhiri wa namna hiyo na hata kwenye senate hali yaweza kuwa hivyo hivyo. Ebu nikuulize, ulipofanya huo utafiti wako uligundua SUA ina wahadhiri wengi wa Mkoa gani? ACHA MASUALA YA KUJA KUONGELEA UKABILA KWENYE MAENEO KAMA HAYA, HATA KAMA HAO KINA SHOMIRE NI WENGI BASI NI PONGEZI KWAO NA WENGINE INABIDI TUJIFUNZE TOKA KWAO SIYO KULALAMIKA MARA UKABILA, UKANDA, UDINI. HII NI SAWA NA CHURA APIGAVYO KELELE KANDO KANDO YA DIMBWI LA MAJI UKIMSOGELEA ANANYAMAZA.

Nani asiyeijua SUA! Wewe kile ni chuo cha umma lazima ukweli usemwe, hata kama wewe ni Prof pale basi uyajue hayo,,,,, tena ni heri enzi za Prf Msolla alijua mipaka ya disco kwa wanachuo
 
katika sua irrigation and water resources ingenering ipo kwenye facult gani na department gani kwa anae juaa naomba kujua
 
katika sua irrigation and water resources ingenering ipo kwenye facult gani na department gani kwa anae juaa naomba kujua

Pakua kwenye Prospectus yao, mengine u-google mwenyewe.
 
Mkude Simba anahuaika kwa saana!!!!

Tehe eeeh aiiih, Bwakilaaah!!! Watu wanakuja Sua eti wasome digilii, aaaah wataweza kweli wakati sie tumeshindwa kuhamisha huo mlima walipojenga hicho chuo chao..... Mkude ukae pale Msamvu uangalie wanatoka nkoa gani?
 
Sio first year wote wanaoreport campus ya solomon mahlangu ila kuna baadhi ya kozi zilizoteuliwa kusoma kule tena kwa miaka yote mi3 ikiwemo education, environmental science, rural, aea etc. Lakini first year wengine wanaripoti kule kule main campus na wanasoma kule miaka yote.
 
Sio first year wote wanaoreport campus ya solomon mahlangu ila kuna baadhi ya kozi zilizoteuliwa kusoma kule tena kwa miaka yote mi3 ikiwemo education, environmental science, rural, aea etc. Lakini first year wengine wanaripoti kule kule main campus na wanasoma kule miaka yote.

Kiongozu naomba unipe tathmini ya kozi B.Sc environmental science and management ikoje hapo mkuu
 
Back
Top Bottom