Kuna mmoja anaitwa Gwajima kesha umbukua....Alikuwa anakula muke ya mtu..
Naona unapiga chapuo hapa....Nyie mmelaaniwa na huyo tapeli wenu..
Hosea 4:6
Unaangamia kwa kukosa maarifa....
Hebu nipe historia ya Jehova Shaggggyyyyy......Hii dunia ina vituko vya aina yake..
Nyamaza maana aujui usemalo JEHOVA SHAGI maana yake ni MUNGU APIGAE NGURUMO.
Hapo kale alijifunua kama JEHOVA SHALOM NA JEHOVA NISI lakini sasa amejifunua kwetu kama JEHOVA SHAGI which means MUNGU APIGAE NGURUMO!
Inapatikana kwenye kitabu gani cha Bible..?
Huyu Geordavie karibuni atajiita mungu....
Hivi Yesu alikua na b/guard?
huyu mi balozi wa mbinguni mimi si shangao
huyu mi balozi wa mbinguni mimi si shangao