Hiram Abiff
JF-Expert Member
- Apr 14, 2013
- 896
- 676
Michango ya Kondoo afu walivyo viazi wana shangilia kabisaaa
Sent from my iPad Air using JamiiForums
hapo hata michango ya kondoo bado haitosh cz wengi wao ni hohehahe sema michango ya sembe...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Michango ya Kondoo afu walivyo viazi wana shangilia kabisaaa
Sent from my iPad Air using JamiiForums
Sasa ikiwa Yeye ni balozi wa mbinguni ulinzi wa chopa sabuni juu, wakati yule anae mwakilisha angemlinda vizuri....jiulize tu...
Acha ubishani wa kitoto!
Mleta Uzi kaeleza wazi kuwa ni Askofu tajiri bongo, hayo ya Amerika yanahusiana na nini hapa???
Watu wengine ni wabishi tangu mnazaliwa!
Huyu jamaa ni tajili na vyanzo vya utajiri wake vinatia shaka na hilo ndilo la kujadili sio issue za huko marekani na matajiri wa huko!
Muacheni ale hela za wavivu wa kufikiri.
Hivi bongo kila mtu mwenye mbwembwe tu ni bilionea, je huyu mtu akienda mfano USA akataka kuwekeza hapo mradi mkubwa akaambiwa atoe "AUDITED FINANCIAL STATEMENT " ya miaka mitano nyuma iliyokaguliwa na wakaguzi wa kimataifa kama Earns & Young Juu ya mwendendo wake wa ulipaji kodi, makusanyo yake na kila kitu kama TRA wanavyosema, je anaweza kuwa na uthibitisho dhahiri usio na doa/ warakini? coz nchi za wenzetu huwezi kuwa unajiita Bilionea wakati ni mkwepa kodi mkubwa katika nchi na wanaoumia ni watu wa chini wanaofukuzwa kama digi digi kila waendapo kutafuta rizki. Tuacheni sifa za kijinga za kukweza watu mabilionea wakati akienda marekani anajifanya yeye ni mtu hali ya mtu tu. ni mtizamo wangu.... kwani mtizamo wa kumuita mtu bilionea kwa vipicha hivyo vya kuruka ruka ni sawa na yule mkuu wa nchi aliyesema kuwa a na foleni ndefu /jam bara barani hapa dar (msongamano wa magari) ni ishara ya maendeleo... ahaaa wapi.
Sawa kabisa mkuu, balozi wa mbinguni analindwa na malaika.
Hivi Yesu alikua na b/guard?
Naomba nisichangie chochote hapa
Biblia inasema utafuteni kwanza ufalme wa mbinguni na hayo mengine mtazidishiwa, lakini leo hii waumini wengi tunahangaika na mambo ya dunia na mali, tumeacha agizo la kuutafuta kwanza ufalme wa mbinguni, wakati neno liko wazi kwamba itamfaidia nini mtu akiupata ulimwengu wake na akaipoteza nafsi yake?