Geor Davie ni nani?

Michango ya Kondoo afu walivyo viazi wana shangilia kabisaaa


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
Kwa namn hii mnafikiri kweli akili ya watanzania imekomaa kuweza kutoichaagua ccm tena?
 

Hivi bongo kila mtu mwenye mbwembwe tu ni bilionea, je huyu mtu akienda mfano USA akataka kuwekeza hapo mradi mkubwa akaambiwa atoe "AUDITED FINANCIAL STATEMENT " ya miaka mitano nyuma iliyokaguliwa na wakaguzi wa kimataifa kama Earns & Young Juu ya mwendendo wake wa ulipaji kodi, makusanyo yake na kila kitu kama TRA wanavyosema, je anaweza kuwa na uthibitisho dhahiri usio na doa/ warakini? coz nchi za wenzetu huwezi kuwa unajiita Bilionea wakati ni mkwepa kodi mkubwa katika nchi na wanaoumia ni watu wa chini wanaofukuzwa kama digi digi kila waendapo kutafuta rizki. Tuacheni sifa za kijinga za kukweza watu mabilionea wakati akienda marekani anajifanya yeye ni mtu hali ya mtu tu. ni mtizamo wangu.... kwani mtizamo wa kumuita mtu bilionea kwa vipicha hivyo vya kuruka ruka ni sawa na yule mkuu wa nchi aliyesema kuwa a na foleni ndefu /jam bara barani hapa dar (msongamano wa magari) ni ishara ya maendeleo... ahaaa wapi.
 
Acha ubishani wa kitoto!
Mleta Uzi kaeleza wazi kuwa ni Askofu tajiri bongo, hayo ya Amerika yanahusiana na nini hapa???
Watu wengine ni wabishi tangu mnazaliwa!
Huyu jamaa ni tajili na vyanzo vya utajiri wake vinatia shaka na hilo ndilo la kujadili sio issue za huko marekani na matajiri wa huko!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…