Geor Davie ni nani?

Hivi kuna shehe bilionea!Mungu wa kweli(sio alla)ni mwema angetunuku huo utajiri kwa mashehe wangekuwa wafadhili wa ugaidi.UMASKINI kwa wengine sio wa kupiga vita kama unavyodhania
...
Nabii, Mtume, Askofu anaishi maisha ya kifahari kwa kuwaminya na kuwadanganya waumini wake kama wewe....haihitaji kwenda shule kutambua utapeli wa hawa mnaowaita manabii....mnakaa mnamuabudu mtu eti nabii...nabii analindwa na watu na jeshi la polisi!?!!
Nabii wa kweli Yesu alikua analindwa na nani!? Hawa manabii wenu feki mbona wanaishi maisha kinyume na Yesu...wamekua kama wanamuziki tu..
Ama kweli wajinga ndo waliwao.
 

mkuu, umetumia maneno makali sana. ni kweli tunapaswa kuwa makini hawa 'manabii' wanaoibuka kila kukicha kwa 7bu ya matendo yake.
 
Alikuwa nao tena 12

wale walikuwa mitume wake, sio walinzi. kama hujui jambo bora ukae kimya kuliko unavyojidhalilisha hapa. hao 12 unaowasema walikuwa wanabeba bunduki wakimlinda?
 

mkuu, bila shaka wewe utakuwa mfuasi wa askofu huyu.
 

huyu yawezekana akawa miongoni mwa 'wajasiriamali' waliomo kwenye orodha ya JK.
 

mkuu, kwa comment hii sidhani kama rungu la admin litakukosa.
 

Asante kwa neno la uzima, mkuu DryRoot. You hit the right point.
 
Wewe pimbi jalibu kufikili ata kwa kutumia kitovu,kama huna ubongo.Gazeti lenyewe ni la udaku,mbona mimi naishi karatu sijawahi kuona hata msafara wa M ENDE,hujiulizi,mbona KARATU ipo ARUSHA na Siyo MANYARA?.hali ya kubumba hiyo,tafuta MAZUZU wenzio.

mkuu mdudu (maggot) hizi hasira zako zimemlenga nani? ungem-quote ili tumjue.
 

hahahaha! mkuu naona umegalagaza kabisa.....
 
Ikiwa ana mtumikia Mungu tu na hana mambo mengine yanayoweza kusababishia maadui wengi wa mwilini....ulinzi wote huu mpaka kukodi askari wa nini?

inaonekana ni jinsi gani huyu 'nabii' alivyo MPAGANI. kama kweli anamuamini Mungu ni kwanini asimuombe ulinzi mpaka aombe ulinzi wa mwanadamu? angekuwa nabii wa kweli angetegemea ulinzi wa kiroho kuliko ulinzi wa nyama na damu (mwanadamu).
 
Jesus said to him, “If you would be
perfect, go, sell what you possess and
give to the poor, and you will have
treasure in heaven; and come, follow
me.”
 
Anatumia vibaya kodi zetu, hawa maafande hawana shughuli nyingine au ndio wanatafuta allowance zao hapo.

hawa maafande wanatumia kodi za umma kumlinda mtu binafsi kwa maelekezo ya wezi (maCCM).
 

taja andiko au kifungu cha biblia kinachothibitisha kuwa Yesu alikuwa na body guards. kama hujui jambo ni bora ukae kimya kuliko unavyojidhalilisha hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…