Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
...Hivi kuna shehe bilionea!Mungu wa kweli(sio alla)ni mwema angetunuku huo utajiri kwa mashehe wangekuwa wafadhili wa ugaidi.UMASKINI kwa wengine sio wa kupiga vita kama unavyodhania
Nabii, Mtume, Askofu anaishi maisha ya kifahari kwa kuwaminya na kuwadanganya waumini wake kama wewe....haihitaji kwenda shule kutambua utapeli wa hawa mnaowaita manabii....mnakaa mnamuabudu mtu eti nabii...nabii analindwa na watu na jeshi la polisi!?!!
Nabii wa kweli Yesu alikua analindwa na nani!? Hawa manabii wenu feki mbona wanaishi maisha kinyume na Yesu...wamekua kama wanamuziki tu..
Ama kweli wajinga ndo waliwao.