Nimemwangalia Channel 10 juzi Jummane waumini wake walikuwa wanampa zawadi ya mbuzi na yeye akawapa zawadi ya mikate!! Wakafuarahi na kushangilia
inaonekana ni jinsi gani huyu 'nabii' alivyo MPAGANI. kama kweli anamuamini Mungu ni kwanini asimuombe ulinzi mpaka aombe ulinzi wa mwanadamu? angekuwa nabii wa kweli angetegemea ulinzi wa kiroho kuliko ulinzi wa nyama na damu (mwanadamu).
Huyu Mtumishi wa Mungu vyeo vyote kampa nani? Hata huyo Papa wa
italy hana hivyo vyeo? Mkuu Ngongo huyu ( Mheshimiwa Dr Nabii na Mtumee Askofu Mkuu Geordavie) alicho kosa cheo kimoja tu na
yeye angelisema kuwa nimwana wa Mungu basi hapo angelifanana na Bwana Yesu kama wenzetu Wakristo walivyo mpa cheo Bwana
Yesu kuwa ni Mwana wa mungu na yeye huyu Mheshimiwa Dr Nabii na Mtumee Askofu Mkuu Geordavie angejipa cheo hicho
angelifanana na Bwana Yesu.Hawa ndio aliowasema Bwana Yesu kuwa Watakuja Manabii wa uongo ndio hawa wamesha kuja
tunawaona kwa maho yetu mwenye maho na akili ajionee mwenyewe kazi kwenu.
Kitu kinachonishangaza ni vile watumishi wa Mungu wanasakamwa kila kona! Ni kama watu wote walioandika wana uadui na huyu mtu! Ina maana huyu jamaa hajawahi kufanya jema hata moja! Ni kama yeye kuwa Mtumishi wa Mungu kimekera sana watu. Yeye ni mwanadamu tu kwani yeye ni Mungu! Watumishi wote, Mungu anawatumia kama punda au lorry! hivyo yeye kuanguka au kusimama hakuwahusu! Ikiwa anamwakilisha Mungu, wagonjwa wanapona, Mapepo yanatimuka, wachawi wanatupa vibuyu, watu wanafanikiwa na Mungu anainuliwa shida iko wapi! Msimwangalie mtumishi mwangalieni Mungu! Shida watu hawaamini kama Mungu anaponya wamezoea waganga hivyo wamemweka Mungu chini na kumwinua shetani. Hivi shetani anaponya? Mapepo yangekimbia? wachawi wangejisalimisha? kwa kweli mimi ninatamani kumwona huyu jamaa kama kwa Jina la Yesu mambo makuu yanatokea huyu ndio mganga ninayemtaka kwani hakuna mganga kama Yesu Kristo. Nimemfuatilia sana huyu mtu ndio maana nimeandika yote haya! Mengi mliyoandika ni uongo mtupu, mpaka jina lake, ametokea wapi, cheo chake, mambo anayoyafanya, hilo limenihakikishia wengi hawamjui na wengi hapa ni maadui wanachafua kazi anayoifanya. Tangu lini adui yako akakusifia! au akakusema vizuri! Kama haumwamini achana naye! Acha wale wanaoamini wakamwabudu Mungu na kupokea miujiza yao. Kweli wivu ni mbaya mlitaka awagawie hizo sadaka? Jamani Mungu akimwinua mtu kubalini!!! Mnafikiri Mungu amelala haoni yeye??? angeacha watu wote wapotee?? tena kwa taarifa yenu lol! watu wamejaa full j2 nilienda kuchungulia na ndio kwanza wanazidi kwenda!!! Hawa watumishi wanaojiona wema na wananguvu za Mungu si waombe ache basi! Mwacheni komandoo wa Yesu apige kazi kama mmeshindwa kuruka kwa ungo mseme!!
ukiona hivyo ana maadui wengi wa mwilini....utumishi wake mhhh...Maana manguli wa injili kama akina Kulola hawakuwahi kuwa na madudu ya namna hii?
Ni nani anayemjua vyema huyu ndugu?
Nasikia ni Nabii
je huduma yake ipo wapi ?
=============
============[/QUOTE
ALIMPORA MKE WA MUUMINI WAKE, KIJANA MOJA DEREVA WA TOURS, MTOTO WA MZEE LOTA PALE SAKINA, MKEWE ANAITWA PAMELA
mstahiki...nilishawahi kuona bango lake hapo arusha la kutangaza mkutano wake wa injili akijiita mtukufu mheshimiwa nabii geordavie!!!!!
mkuu, umetumia maneno makali sana. ni kweli tunapaswa kuwa makini hawa 'manabii' wanaoibuka kila kukicha kwa 7bu ya matendo yake.
Kama hujui kiswahili umejuaje alichosema acha ulimbukeni kudhani uzungu ndiyo umesoma
Mungu ndiye anaye fanya Miujiza. Mtu ambaye anafanya miujiza halafu anatoza pesa huyo sio Mtumishi wa Mungu. Mungu huwa hatozi pesa kwasababu miujiza ni sehemu ya attribute yake.Kwanza ni Utajiri halafu Neno la Mungu litakuja baadae Twende Nigeria tukajifunze mambo ya kufanya Miujiza unasemaje? kule kuna Askofu anayefanya miujiza na ni Tajiri sana si unamjuwa yule Askofu mkuu Tajiri wa Ki Nigeria?
Mungu ndiye anaye fanya Miujiza. Mtu ambaye anafanya miujiza halafu anatoza pesa huyo sio Mtumishi wa Mungu. Mungu huwa hatozi pesa kwasababu miujiza ni sehemu ya attribute yake.
Watanzania wamekata tamaa na maisha thus why wakiambiwa uokovu huko huko wanakimbilia tu hii inatokana na ugumu wa maisha,ajira hakuna,maisha bora kwa kila mtanzania yamekuwa magazetini,gap kati ya matajiri na masikini ni kubwa,ndio maana watu wanajitafutia njia ya kupata riziki ukiondoa mpira,kucheza filamu na music ajira nyingine pekee iliyobaki ni kuanzisha kanisa,tumuombe mungu awaoneshe watu haki na batili yupi nabii wa ukweli na wa uongo,mungu ibariki tanzania
Better nislimu niwe muislamu kuliko kuwa katika dini za kipumbavu kama za huyu tapeli.
Better kuzunguka jiwe kuliko kumpelekea jasho lako na la familia yako huyu tapeli. Islamu ni dini vile vile.
kama Mchungaji, Dr, Mheshimiwa, Mkurugenzi, Mchungaji, Askofu Mkuu, Mama Getrude Lwakatare---tapeli mkubwa---yeye hana mume lakini kutwa kucha anawaombea watu waolewe na wadumu kwenye ndoa zao. sijui yeye alipomuasi mume wake anatoa picha gani kwa waumini wake.
Hakuna muhubiri aliyetikisa nchi hii kama kulola.lakini hakuwahi kuwa na ulinzi mkali kama huu
Better nislimu niwe muislamu kuliko kuwa katika dini za kipumbavu kama za huyu tapeli.