Geor Davie ni nani?


Binafsi zaidi tu ya kuona vile anavyobana pua wakati anaongea, anaonyesha magari yake ya uwongo na kweli, nyumba, suti zake huku akionyesha majigambo na dharau zake huwa sioni kingine kutoka kwake. In short anaboa!
 
Binafsi zaidi tu ya kuona vile anavyobana pua wakati anaongea, anaonyesha magari yake ya uwongo na kweli, nyumba, suti zake huku akionyesha majigambo na dharau zake huwa sioni kingine kutoka kwake. In short anaboa!
Acheni hizo bana tunapaswa kufuata mafundisho yake na sio kumwangalia mhubiri alivyovaa au anavyoongea tuache mambo ya kidunia tuwe kiroho zaidi.
 
Acheni hizo bana tunapaswa kufuata mafundisho yake na sio kumwangalia mhubiri alivyovaa au anavyoongea tuache mambo ya kidunia tuwe kiroho zaidi.
Anafundisha jinsi ya kumpa fedha ili uwe tajiri. Sasa ni mafundisho ya Mungu hayo?
 
Hao wanaojiita manabii wameshtukia kua hakuna mungu hivyo wapo kuwatia ujinga nyinyi musio wahi kutapeliwa.

Amini ninacho kuambia.

Hao ni wajanja wa mjini tu (matapeli kwa jina la mungu)

Wanatumia bible kwakua wacristo ni watu rahisi kutapeliwa linapo kuja swala la mungu.
 
Kuna manabii wa aina mbili;
1;Manabii wa Mungu
-hawa walitumwa na mungu kufikisha ujumbe wa kumcha na kuabudu mungu katika kweli.

Waliihamasisha umoja na upendo miongoni mwa waumini

Hawakupenda kujilimbikizia mali ingawa wangetaka wangeweza na wengi walikufa maskini kwa kuzitoa sadaka mali walizozipata.

Kwa manabii hawa wa mungu waumini wote walikua na hadhi sawa na waliohitaji uombezi waliombewa bila ya kutozwa malipo ya aina yoyote.

KWAO MUNGU KWANZA
PESA BAADAE.

2;Manabii wa pesa.
-Hawa wametumwa pesa,mungu wao ni pesa.

Kwao umoja baina ya waumini si kigezo,wapo tayari kuwaponda manabii wenzao wa makanisa mengine kwamba si manabii wa mungu hivyo waumini wasiende kusali.

Kwao kila baada ya kusoma andiko moja jua wazi andiko litakalofata ni kukuimiza kutoa fungu la kumi na sadaka mbalimbali.

Kwao heshima ya muumini huja kwa wingi wa pesa anazomiki.

Kwao toa kwa ajiri ya bwana ni sentensi isiyoisha midomoni mwao.

Wengi ufa na utajiri wa kutisha.

KWAO PESA KWANZA
 
aisee kuna yule mwngne wa Star tv anaitwa prophet billionaire nchi imejaa manabii na mitume kibao
 
Yule Anatafuta fedha tu! Wala hana mpango na mambo ya Mungu!
Kuhakikisha hilo, hakuna hata siku moja utamsikia akikemea dhambi wala kusisitiza uchaji wa Amri kumi za Mungu!
Yeye ni kuwasifia tu waumini wake, ili watoe fedha za kutosha!
Anawatia ujinga anawaita Kizazi chenye Akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…