Geor Davie ni nani?

Geor Davie ni nani?

Wanafanya biashara bila kukipa kodi.mimi ninaishauri TRA wawaondolee exemption watu kama hawa
 
Huyu jamaa kwake Biblia siyo kitu cha muhimu...Yeye anaongea na Mungu moja kwa moja...

Maajabu mengine ni kuwa ana Makadinali..
 
(Al islam dinul hak)

Uislam ndio.dini ya ukweli...hakuna hizi propaganda zakudanganyana


Wajinga ndio waliwao...Yani kuna maskini wa hela...ila hawa wenzetu wa mlengo wapili ni maskini wa akili....manabiii na mutume hahahahaha huyo bado kugeuka kibwetele...na mtakufa bila kelele

Its not fair ndugu,kila mtu anaamini kile akijuacho,naamini wapo masheikh vilevile wanaotumia nguvu na utapeli kama ilivyo kwa wakristo,kwa hiyo hamna mantiki ya kushambulia kundi fulani la dini,wote dini ni za kuletewa,so dont judge the whole group by the dees of one person
 
kinachonishangaza anaongea na mungu moja kwa moja ya nin sasa anatumia ulinzi mkubwa vile kama yeye nabii amwamini mungu
 
ASKOFU na Nabii George David ‘Geordavie’ wa Kanisa la Geordavie Ministry ‘Ngurumo ya Upako’ lililoko jijini Arusha na Kawe, Dar. Kwa sasa ndie anaaminika kuwa ndiye Askofu mwenye utajiri mkubwa na Ulinzi wa hali ya juu, Kuna watu wengine wamefananisha ulinzi wake kama wa Viongozi wa juu serikalini.

Mbali na kulindwa na walinzi wake binafsi pia hulindwa na Polisi (FFU) ili kumhakikishia amani na ulinzi wa kutosha kila
mahali anapokuwa. Waumini wake wengi wanapata wakati mgumu kumuona na kuongea nae kwasababu ya ulinzi huu
mkali alio nao huyu askofu.

GEORDAVIE1.jpg


Mbali ya kuwa na chopa iliyokuwa ikiimarisha ulinzi ambayo ameinunua hivi karibuni, askofu huyo alikuwa na msururu wa magari yenye thamani kubwa yanayomfanya kutajwa kuwa tajiri kuliko maaskofu wengine wanatoa huduma katika makanisa ya kiroho Tanzania.
Akiwa Karatu, mbali na ulinzi binafsi, Geordavie alikuwa akilindwa na askari wa jeshi la polisi, askari kanzu, Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) na wale wa usalama barabarani.

GEORDAVIE5.jpg


GEORDAVIE7.jpg


GEORDAVIE10.jpg


GEORDAVIE3.jpg





Anaitwa "His Exellency Honourable Geor Davie The Prophet Ngurumo ya Upako" Mega Annointing.

Ana walinzi binafsi wasiopungua 12. Nasikia sasa kanunua chopa ya pili. Magari ya kifahari yakutosha. Msafara wake ukipita boda huwa haukaguliwi,awe anaenda kenya au anatoka.

Msafara wake wa arusha huwa una eskot ya difenda 2 za polisi. Anadai yeye ndio msemaji wa Mungu duniani,ukitaka kujua Mungu anasema nini msikilize.

Anadai viongozi wa tz lazima wamuombe ushauri kabla hawajafanya jambo lolote.
 
Manabii karibia wote wa miaka ya karibuni ni wasanii na matapeli tu,nime ona zambia,zumbabwe,south africa na hata hapa nyumbani,wana ushi maisha ya anasa sana kwa kupitia migongo ya waumini wao ambao na masikini kabisa.
Hakuna taarifa za mapato na matumizi,,makanisa yanakua private business af serikali zime lala hata hazi wadai kodi za mapato.Mwingine uta sikia kaoteshwa anunue lamborghini ,hellicopter,private jet nk.wajinga ndo waliwao
 
Manabii karibia wote wa miaka ya karibuni ni wasanii na matapeli tu,nime ona zambia,zumbabwe,south africa na hata hapa nyumbani,wana ushi maisha ya anasa sana kwa kupitia migongo ya waumini wao ambao na masikini kabisa.
Hakuna taarifa za mapato na matumizi,,makanisa yanakua private business af serikali zime lala hata hazi wadai kodi za mapato.Mwingine uta sikia kaoteshwa anunue lamborghini ,hellicopter,private jet nk.wajinga ndo waliwao

ndio kuna manabii wa uongo biblia inasema nabii wa kweli akitabiri vitu vinakua ila wa uongo havitokei na pia wauongo hasemi jina la yesu wa ukweli anasema kwa jina la yesu
GEORDAVIE ni nabii wa kweli akisema kitu nisheria na anasema katika jina la KRISTO YESU!
 
Geordavie is the senior prophet and he is the great teacher
upinge au ukubal the truth will never change
 
ndio kuna manabii wa uongo biblia inasema nabii wa kweli akitabiri vitu vinakua ila wa uongo havitokei na pia wauongo hasemi jina la yesu wa ukweli anasema kwa jina la yesu
GEORDAVIE ni nabii wa kweli akisema kitu nisheria na anasema katika jina la KRISTO YESU!

Naona unapiga chapuo hapa....Nyie mmelaaniwa na huyo tapeli wenu..
 
Geordavie is the senior prophet and he is the great teacher
upinge au ukubal the truth will never change

Hosea 4:6

Unaangamia kwa kukosa maarifa....

Hebu nipe historia ya Jehova Shaggggyyyyy......Hii dunia ina vituko vya aina yake..
 
anaitwa "his exellency honourable geor davie the prophet ngurumo ya upako" mega annointing.

Ana walinzi binafsi wasiopungua 12. Nasikia sasa kanunua chopa ya pili. Magari ya kifahari yakutosha. Msafara wake ukipita boda huwa haukaguliwi,awe anaenda kenya au anatoka.

Msafara wake wa arusha huwa una eskot ya difenda 2 za polisi. Anadai yeye ndio msemaji wa mungu duniani,ukitaka kujua mungu anasema nini msikilize.

Anadai viongozi wa tz lazima wamuombe ushauri kabla hawajafanya jambo lolote.

eee bhana eee !
 
Hata babu wa Loliondo watu walimwamini,sisi tuliwaambia watu hapa hapa JF kuwa huyo babu ni tapeli wapi watu hawakusikia wakaja na nukuu zao hapa lakini mwisho wake umeonekana,hata hao manabii matapeli nao kuna siku wataumbuka huwezi ukaongopa kila siku,lazima kuna siku utaumbuka,wengi wao ni wauza sembe na vipusa na sio sadaka ambazo zinawatajirisha.Mtu anayeongea na Mungu(kwanza anakufuru)hawezi kutembea na walinzi ,hata Yesu hakutembea na walinzi.
 
Hata babu wa Loliondo watu walimwamini,sisi tuliwaambia watu hapa hapa JF kuwa huyo babu ni tapeli wapi watu hawakusikia wakaja na nukuu zao hapa lakini mwisho wake umeonekana,hata hao manabii matapeli nao kuna siku wataumbuka huwezi ukaongopa kila siku,lazima kuna siku utaumbuka,wengi wao ni wauza sembe na vipusa na sio sadaka ambazo zinawatajirisha.Mtu anayeongea na Mungu(kwanza anakufuru)hawezi kutembea na walinzi ,hata Yesu hakutembea na walinzi.

Kuna mmoja anaitwa Gwajima kesha umbukua....Alikuwa anakula muke ya mtu..
 
Back
Top Bottom