Hivi ndugu WAGALATIA tuwakumbushe mara ngapi kuwa Huu usanii mtaukuta Kwenye IMANI YENU TU?
Viongozi wenu wanakuibieni hivi hivi halafu nyie mnashangilia kwa kusema haleluyaaa!
Jamaa anakula bata kwa mrija nyie mnashindia mihogo mikavu.
Halafu akiamua kubaka mwanakondoo ANABAKA VILE VILE na lolote hafanywi!
Mmebaki kumuendea na hivyo vi senti vyenu halafu eti anakwambia weka hio sadaka kwenye Madhabahu halafu uje hapa NIKUSAMEHE DHAMBI ZAKO!
Halafu jitu zima Linalegea na kupiga goti likisubiri kusamehewa dhambi na Jizi!
Teh teh teh teh!
Haki ya Mungu kuna binaadamu wana akili mbovu duniani.
Yaani mpaka leo 2014 mnasamehewa Dhambi na MTU!
Dah!
Halafu eti ukitoa kuanzia Laki kwenda juu Jamaa ANAKUSAMEHE MADHAMBI in ADVANCE!
Yaani hata UKIZINI MKE WA MTU baada ya Mwezi dhambi zako anakuwa ameshakusamehe.
Kwi kwi kwi kwi!
Nimeshamwambia mgalatia
Nyakageni anitengenezee mazingira huko kwa wagalatia wa kihaya.
Mimi na nabii
MZIMU pamoja na nabii
Ritz tunakuja kufungua kanisa letu la upako wa nguvu.
Kazi ya kutoa pepo tunamkabidhi Nabii
sakni.