blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Dah..Ila jamaa nae alilegea sana kwa hyo pale alishindwa kurusha ngumi kwa wale polisi
Sema kwanini reaction yote hii!?
Who was He!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah..Ila jamaa nae alilegea sana kwa hyo pale alishindwa kurusha ngumi kwa wale polisi
He was man of peopleDah..
Sema kwanini reaction yote hii!?
Who was He!?
How!!?He was man of people
Police walikua kama watano hivi kuna waliomkandamiza mgongoni mbali ya yule wa goti... Kosa moja asingekubali kufungwa mikono kwa nyumaIla jamaa nae alilegea sana kwa hyo pale alishindwa kurusha ngumi kwa wale polisi
Haikuwa kosa... Na ndio maana wale maafande wameshtakiwa.Police walikua kama watano hivi kuna waliomkandamiza mgongoni mbali ya yule wa goti... Kosa moja asingekubali kufungwa mikono kwa nyuma
porn ni zile filamu za ngono ?
How!!?
We never heard of him before..!?
What was he doing !?
How!!?
We never heard of him before..!?
What was he doing !?
Alikua msabatoAlikua DINI gani?
Ubaya tunaonekana watu weusi tuna maguvu sana, thats why hata polisi wazungu nao wanatumia nguvu nyingi[emoji2817][emoji2817][emoji2817]Mkuu ile video ndo imeamsha hasira za watu ,maana polisi alikusudia kabisa kumwua
Ubaya tunaonekana watu weusi tuna maguvu sana, thats why hata polisi wazungu nao wanatumia nguvu nyingi[emoji2817][emoji2817][emoji2817]
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
Naambiwa jamaa alikuwa na mashine.. Halafu muuaji alikuwa na kibamia.. Hapo kabla walikuwa wote ma baunsa kwenye night club moja wakipiga kazi... Demu wa kitasha chakula ya musungu ikamkimbia mwana na kwenda kwa Floyd... Bifu lilianzia hapo... Mengine sifahamuTaarifa za wazi zinaonyesha kwamba mwamba huyu aliuliwa na askari wa Marekani , hilo sina shaka nalo hata chembe lakini je mtu huyu aliyeamsha hasira kali dunia nzima alikuwa anajishughulisha na nini?
Natanguliza shukrani.
Kilichombeba jamaa ni rangi yake na alivyowawa kinyama but hana lolote na kupitia yeye mtu mweupe hasa kwa hao wanaojiona miamba watajifunza kuficha chuki zao kwa wale wanaowachukia.Nimeona leo kaagwa na maelfu ya watu na kwa heshima kubwa.
Sawa sawa mpishi wa Mungu, duniani mpo watu mnajiona kabisa kwamba sometimes mnakaa meza moja na Mungu mna-discuss mawili matatu kuhusu dhambi za dunia hii,hivi wewe dhambi huna?baada ya ku-google na kutambua kuwa jamaa alikuwa mfiraji yaani siku yangu imeharibika kabisaa, huruma yangu kwake imepotea kabisa na kwa kweli alistahili kuuwa tena kwa kuchomwa moto kama Mwenyezi Mungu alivyo fanya kwa watu wa sodoma naoa gomora!
Uzuri wenzetu huwa hawapiki kesi,jamaa kosa lake lilikuwa kutumia hela fake $20 kununua pakit ya sigara hakuna lingine,CCTV cameras zilionyesha mwanzo alikamatwa na askari wawili alivyopigwa pingu aligoma kuingia kwenye gari akitaka pingu zifunguliwe kwanza kwani hilo halikuwa kosa la kufungwa wakang'ang'anizana nae wakafanikiwa kumuingiza kwenye gari ila walikuwa wameshaita backup ndipo alipokuja yule chauvin kusaidia akamdondosha tena chini kutoka ndani ya gari akamgandamiza chini na ndipo video zilizoonekana zilipoanza kuchukuliwa.Police walikua kama watano hivi kuna waliomkandamiza mgongoni mbali ya yule wa goti... Kosa moja asingekubali kufungwa mikono kwa nyuma