George Mpole Anaongoza Kwa Ufungaji Lakini si Tishio!

George Mpole Anaongoza Kwa Ufungaji Lakini si Tishio!

Mimi ni shabiki wa Yanga, lakini nafurahi kuona mchezaji mzawa anapambana na kuongoza kwenye list ya wafungaji bora.

John Terry aliwahi kumnyima Didier Drogba penati, akaipiga yeye ili Drogba asimzidi magoli Wayne Rooney. Japo mpango wake haukufanikiwa (Drogba lilitupia goli bila hiyo penati), wenye akili tuliona nguvu ya utaifa na uzalendo hata kwenye mpira.

Kusema George Mpole sio tishio ni uongo, angekua sio tishio asingeongoza kwa idadi ya magoli. Kuona kijana ambae sidhani kama hata mshahara wake unafika laki tisa kwa mwezi akipambana na washambuliaji wa kigeni wenye mishahara minono, ni jambo la kupongeza!

Namkubali sana Mayele, ila tuache takwimu ziongee, na takwimu zinasema George Mpole ndio anaeongoza!
Lampard ndio alipiga ile penati
 
Mimi ni shabiki wa Yanga, lakini nafurahi kuona mchezaji mzawa anapambana na kuongoza kwenye list ya wafungaji bora.

Frank Lampard aliwahi kumnyima Didier Drogba penati, akaipiga yeye ili Drogba asimzidi magoli Wayne Rooney. Japo mpango wake haukufanikiwa (Drogba lilitupia goli bila hiyo penati), wenye akili tuliona nguvu ya utaifa na uzalendo hata kwenye mpira.

Kusema George Mpole sio tishio ni uongo, angekua sio tishio asingeongoza kwa idadi ya magoli. Kuona kijana ambae sidhani kama hata mshahara wake unafika laki tisa kwa mwezi akipambana na washambuliaji wa kigeni wenye mishahara minono, ni jambo la kupongeza!

Namkubali sana Mayele, ila tuache takwimu ziongee, na takwimu zinasema George Mpole ndio anaeongoza!
Mkuu hongera, sijui wewe ulipata akili wapi?, wenzako wana yanga wanaongea upuuzi ila wewe umejipambanua kujua ukweli na kuusema
 
Kati ya thread za ovyo kabisa kuwahi kuandikwa humu jf ni hii. Angalia jinsi hata utopolo wenzako wanavyokushangaa kutokana na huu uchafu uliouandika .[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
giphy.gif
 
Mechi ijayo timu pinzani haitaweka kipa ili Mayele afunge maana kipa anapodaka shuti la Mayele kwa kuruka kama nyani anaonekana amemkamia Mayele.
 
Haya game ijayo tutamwachia afunge hakuna beki wa kumkaba..

Mayele ni tishio kwa style yake ya kushangilia basi na sio kufumania nyavu,

Kwahiyo mnataka asiwe anakabwa na beki yoyote!?

Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
 
Mpira umekua na vituko vya ajabu sana hususani hapa kwetu Tanzania,eti baada ya kuonyesha uwezo mkubwa wa kuzifumania nyavu mchezaji Fiston Mayele limetokea kundi kubwa sana la watu waliotokea kumchukia na kuomba kila dua kwa mungu Mayele asifunge magoli!...

Hii imepelekea hadi sasa kila timu ikiingia kucheza na Yanga safu ya ulinzi wote wanaagizwa kuwa macho na huyu mchezaji mmoja na kupewa special attention ati asifurukute ...
Imekua kawaida sasa Mayele kukabwa na beki wawili,hadi watatu kila ashikapo mpira!..but the guy is so talented kwani ameshalijua hilo nae hucheza kwa juhudi kubwa ktk mazingira haya magumu kwa kuwapenyezea wenzake mipira washinde mabao na tumeona inaleta matokeo..

Wengine wamefikia mbali hata kufikia kutumia nguvu za giza yaani majini yamdhibiti huyu Mayele asifanikiwe kufunga!..unajiuliza hivi mpira umekua ni vita?..michezo ni furaha...michezo ni burudani..michezo ni amani..
Najiuliza Messi,Ronaldo au Lewandonsky wangekua wanacheza ligi yetu hii na ulimbukeni huu na roho mbaya hizi, si wangekua tayari hata tumeshazika miaka mingi?hivi kuna tatizo gani mchezaji akifanya vizuri?wengine wanaumizwa na nini?tutafika wapi ki soka kama nchi?

Mwisho nimpe hongera George Mpole kwa leo kuongoza ktk ufungaji ligi ya Nbc lakini nina imani hata na yeye anajijua kuwa si tishio kwa mabeki.na ndio maana hakuna mabeki wanayehangaika nae kitu kinachompa speed ya kukimbizana na Fiston..tofauti na ilivyo kwa Fiston ambaye hata baada ya mechi ya mwisho Ya Yanga kumalizika akihojiwa aliweka bayana wakati mgumu a aoupitia kwa kukamiwa

Mayele kwa kipindi kifupi ame trend Tanzania,afrika na hata baadhi ya nchi nyingine za asia na europe kwa ushahidi wa video kuliko mchezaji yeyote wa kigeni aliyewahi kucheza katika historia ya nchi hii

Hongera kwake Fiston na atabaki kuwa mshambuliaji tishio nchini kwa sasa hata kama itatokea azidiwe magoli 4.
Kama hawezi kufunga anakuwaje tishio, uwezo wa kawaida sana anao
 
Ni upuuzi kusema mchezaji anakamiwa ni wajibu wa beki kumzuia striker asifunge ,Mayele apambane tu ili afunge magoli ila kuamini kuwa anakamiwa siyo kweli..
 
Hainiumi kinachokera ni jinsi hii tabia mchezaji anayefunga sana hapa nchini kuchukiwa...na ushahidi wa roho mbaya unauona hata humu kwenye wachangiaji..cjui shida iko wapi...

Tazama leo Prience Dube yuko wapi mtu alikua mtupiaji mzuri tu...ndiyo kisa nasema Messi asingeweza cheza hapa kutokana na roho mbaya za watu
Mbona anayefunga sana (George Mpole) hachukiwi bali tunampenda sana?
Lawama zote ziende kwa Hinonga maana ndio alionesha mabeki jinsi ilivyo rahisi kumkaba Mawele.
 
Hii round ya pili timu zinapigania nafasi za kimataifa zingine zinapigana zisishuke. Baada ya bahasha kukataliwa round hii Mayele kaonekana kama Yikpe .
Kumbe mayele uwa anatoa bahasha ili afunge magoli? Sisi tusiojua mpira tulikuwa atulijui hili, Kama aliweza kutoa bahasha kwenye ngao ya jamii wale kina wawa na onyango wakamuachia goli kuna siku iyo timu itampiga bei mpaka mmiliki wake maana ni hatari hii kitu
 
Mpira umekua na vituko vya ajabu sana hususani hapa kwetu Tanzania,eti baada ya kuonyesha uwezo mkubwa wa kuzifumania nyavu mchezaji Fiston Mayele limetokea kundi kubwa sana la watu waliotokea kumchukia na kuomba kila dua kwa mungu Mayele asifunge magoli!...

Hii imepelekea hadi sasa kila timu ikiingia kucheza na Yanga safu ya ulinzi wote wanaagizwa kuwa macho na huyu mchezaji mmoja na kupewa special attention ati asifurukute ...
Imekua kawaida sasa Mayele kukabwa na beki wawili,hadi watatu kila ashikapo mpira!..but the guy is so talented kwani ameshalijua hilo nae hucheza kwa juhudi kubwa ktk mazingira haya magumu kwa kuwapenyezea wenzake mipira washinde mabao na tumeona inaleta matokeo..

Wengine wamefikia mbali hata kufikia kutumia nguvu za giza yaani majini yamdhibiti huyu Mayele asifanikiwe kufunga!..unajiuliza hivi mpira umekua ni vita?..michezo ni furaha...michezo ni burudani..michezo ni amani..
Najiuliza Messi,Ronaldo au Lewandonsky wangekua wanacheza ligi yetu hii na ulimbukeni huu na roho mbaya hizi, si wangekua tayari hata tumeshazika miaka mingi?hivi kuna tatizo gani mchezaji akifanya vizuri?wengine wanaumizwa na nini?tutafika wapi ki soka kama nchi?

Mwisho nimpe hongera George Mpole kwa leo kuongoza ktk ufungaji ligi ya Nbc lakini nina imani hata na yeye anajijua kuwa si tishio kwa mabeki.na ndio maana hakuna mabeki wanayehangaika nae kitu kinachompa speed ya kukimbizana na Fiston..tofauti na ilivyo kwa Fiston ambaye hata baada ya mechi ya mwisho Ya Yanga kumalizika akihojiwa aliweka bayana wakati mgumu a aoupitia kwa kukamiwa

Mayele kwa kipindi kifupi ame trend Tanzania,afrika na hata baadhi ya nchi nyingine za asia na europe kwa ushahidi wa video kuliko mchezaji yeyote wa kigeni aliyewahi kucheza katika historia ya nchi hii

Hongera kwake Fiston na atabaki kuwa mshambuliaji tishio nchini kwa sasa hata kama itatokea azidiwe magoli 4.
Umeanza lini kuamini ushirikina?

Au baada ya kuona mayele hafungi?
 
Beki niwekeeni injury Mayele,atulie nje mpaka ligi iishe
Unaona sasa?kosa lake nini? Hapa ndiyo muone na mkubali kuwa Mayele ana upinzani mkubwa ndani na nje ya uwanja....mabeki wamekua wakimfanyia faul za maksudi kabisa mfano ile Yondani alivyoenda kumkanyaga akiwa hana mpira
 
Back
Top Bottom