George Mwangi wa Jubilee Party "amchana" Uhuru Kenyatta kwa uchonganishi

George Mwangi wa Jubilee Party "amchana" Uhuru Kenyatta kwa uchonganishi

Hivi Kenyatta alitaka ndege za KQ zitue JNIA, Zanzibar na KIA kuleta watu then ziondoke na raia wa nchi nyingine isipokuwa watanzania?

Au alipanga kuleta watu then ndege zao zigeuze na mifugo au mizigo? Yaani uniletee ndege kwangu harafu nisipande kurudi zinapotoka? Crazy stuff.

Magufuli ashikilie hapo hapo tu. Kama mbwai iwe tu.
Mambo ya ajabu sana, au labda zikifika huku zirudi tupu kabisa, au alitakaje sijui
 
Hivi Kenyatta alitaka ndege za KQ zitue JNIA, Zanzibar na KIA kuleta watu then ziondoke na raia wa nchi nyingine isipokuwa watanzania?

Au alipanga kuleta watu then ndege zao zigeuze na mifugo au mizigo? Yaani uniletee ndege kwangu harafu nisipande kurudi zinapotoka? Crazy stuff.

Magufuli ashikilie hapo hapo tu. Kama mbwai iwe tu.
Mkuu, Watanzania wengi wanaoingia nchini Kenya hawana la maana wanaloleta humu bali ni kujaza miji ya Kenya na ombaomba na waganga njaa.

hivyo basi namuunga mkono Rais UK kwa kuwabana vilivyo. heri ndege ibebe ng'ombe tukiwa na uhakika tutakunywa maziwa lakini sio Mtanzania.

komaaeni na kuuza vitunguu na nyanya.

Alamsiki!
 
SGR 700km vs SGR 100km
GDP $100b vs GDP $63b
KQ 40 planes vs ATCL 7 planes
Biggest exporter of Coffee &Tea vs Bahatisha minofu ya nyama.

Mnang'ang'ana sana kuipiku Kenya tena Kila siku...anagalia nyuzi nyingi kwa Kenyan section ni Watanzania bad mouthing Kenya. Hamtatupiku mpende msipende.
Tutawafukuza uku kwetu tuone mtakavolia njaa............mbwa nyie..........kama mna uchumi mzuri si mkae kwenu mbona mmejazana uku kama mabaa medi wa kimboka by 9t
 
mkuu,,, Watanzania wengi wanaoingia nchini Kenya hawana la maana wanaloleta humu bali ni kujaza miji ya Kenya na ombaomba na waganga njaa.
hivyo basi namuunga mkono Rais UK kwa kuwabana vilivyo. heri ndege ibebe ng'ombe tukiwa na uhakika tutakunywa maziwa lakini sio Mtanzania.
komaaeni na kuuza vitunguu na nyanya.
Alamsiki!
Sasa wewe mbuzi huoni mkipoteza zaidi[emoji38][emoji38][emoji38],unacheka cheka tu kama malaya kaona bia.

Kama omba omba pekee ndio wanakuja huko,hiyo sio hasara kwa tz wala mtz,ndio maana hatukujifikiria mara mbili kuwabinya corodani zenu,maana ndege zenu kuingia huku ni zaidi ya favour.
 
Hawa wakenya hawana maarifa
Sasa wewe mbuzi huoni mkipoteza zaidi[emoji38][emoji38][emoji38],unacheka cheka tu kama malaya kaona bia.

Kama omba omba pekee ndio wanakuja huko,hiyo sio hasara kwa tz wala mtz,ndio maana hatukujifikiria mara mbili kuwabinya corodani zenu,maana ndege zenu kuingia huku ni zaidi ya favour.
 
Kuna kitu nyuma ya pazia tu Uhuru hataki kukiweka wazi,ila hakuna siri kwa mwanadamu.
 
SGR 700km vs SGR 100km
GDP $100b vs GDP $63b
KQ 40 planes vs ATCL 7 planes
Biggest exporter of Coffee &Tea vs Bahatisha minofu ya nyama.

Mnang'ang'ana sana kuipiku Kenya tena Kila siku...anagalia nyuzi nyingi kwa Kenyan section ni Watanzania bad mouthing Kenya. Hamtatupiku mpende msipende.
Kitu ambacho Kenya inakiona labda haujakiona,kwa nia njema kabisa, We look at the future through the present, past is almost irrelevant hapa.
Tz inajivunia uwekezaji mkubwa katika maeneo ambayo jirani aliyatumia vizuri kuwa alipo leo, its obvious akiiangalia kesho, inampa ukakasi.."Clear cut"
 
wakenya hudhani wakituminya tutawaomba kukaa mezani yaishe bt kinyume chake wamekua wakikutana na mpingo mkali ambao unawafanya wapumulie makalio hadi wanaomba poo...

nabado huo ni mwanzo tu, JMP IS ALIVE.
 
wakenya hudhani wakituminya tutawaomba kukaa mezani yaishe bt kinyume chake wamekua wakikutana na mpingo mkali ambao unawafanya wapumulie makalio hadi wanaomba poo...

nabado huo ni mwanzo tu, JMP IS ALIVE.
Viongozi ndio wanapigana Mkuu sio sisi masikini hohe have.
 
Viongozi ndio wanapigana Mkuu sio sisi masikini hohe have.
tatizo la viongozi wa kenya wanatamaa sana, tumeshapata taarifa kua wanatumika na mabeberu dhidi yetu bt kwa kua madhara ya kiuchumi wanayapata wao na si mabeberu ndo maana wamekua wakichomoa mapema kabla hawajaathirika zaidi.
 
Back
Top Bottom