Huyu mimi mara zote huwa namuona ni kiongozi mzuri sana na anayo nidhamu hasa ile ya 'kiuongozi', na anaheshimu sana watu anaowaongoza. Huyu tunatakiwa tuendelee naye mpaka 2025 halafu tutaona hapa katikati atakwendaje, kama kweli ana tatizo litadhihirika tu. Hata hivyo, mimi naona mambo mengine yanaweza kuwa ni mitego ya kisiasa tu, watu wengine hawajui kuseleleka maneno mdomoni lakini kazi wanafanya vizuri. Wengine wapo wana maneno mengi matamu utashangilia lakini kazi hamnaNikiwa kada wa siku nyingi niliyepitia JKT kwa mwaka mzima, nimesitushwa na majibu ya Mh Simbachawene katika ajira za wasomi Polisi.
Nimelazimika kupitia CV yake iliyo ukurasa wa Bunge, hakuna mahali anaonekana kapitia JKT.
HII NI HATARI!
Majibu aliyotoa leo kipindi cha Dk 45 yanaonyesha kabisa mtu asiye na ufahamu wa basics za ajira za wasomi, hasa Polisi.
Ati msomi wa Div 1 hawezi kulinda benki!!!!
Hivi Simbachawene anajua anaongea nini?
Sisi tuliosoma zamani, tena tulifaulu vizuri, kulinda sehemu nyeti ilikuwa sehemu ya kazi.
Leo kuna majenerali waliofaulu vizuri tu na kulinda sehemu nyeti, ni sehemu ya majukumu ya ulinzi.
Nitashangaa kama Simbachawene ataendelea kuwepo sehemu asiyostahili.
Profile
Hon. George Boniface Simbachawene
Member Type : Constituent Member
Constituent : Kibakwe
Political Party : CCM
Phone : +255755375623
P.O Box : P. O. Box 75112, Dar es Salaam
Email Address : g.simbachawene@bunge.go.tz
Date of Birth : 1968-07-05
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Arusha Technical College Full Technician Certificate 1989 1992 FTC University of Dodoma Masters in Public Administration 2010 2013 Masters Degree Open University of Tanzania LL.B 2000 2005 Bachelor Degree Mazengo Secondary School CSEE 1985 1988 Secondary School Pwaga Primary School - 1978 1982 Primary School Mahomanyika Primary School CPEE 1983 1984 Primary School
Employment History :
Company/Institution Position From To Ministry of Energy and Minerals Deputy Minister 2012 2013 Muzdalifah Charitable Dispensary Managing Director 2000 2001 Urafiki Bus Service-Dodoma Transport Officer 1995 2000 Future World Vocational Training Centre Teacher/Instructor 1997 1999 Ministry of Land Deputy Minister 2013 2014 Ministry of Energy and Minerals Minister 2014 2015
Political Experience :
Political Party Position From To President's Office Regional Administration and Local Government Minister 2015 2017 Chama cha Mapinduzi Member of District Political Committee 2002 Todate Local Authorities Accounts Committee of the Parliament Member of the Committee 2005 2010 Administration and Local Governments Committee Member 2015 2018 Subsidiary Legislation Committee Chairman 2010 2012 Constituent Assembly Member 2014 2014 Parliament of Tanzania Member of the Parliament 2005 2010 Parliament of Tanzania Member of the Parliament 2010 2015 Chama cha Mapinduzi Member of the National General Meeting 2005 Todate Parliament of Tanzania Member of the Parliament 2015 2020 Chama cha Mapinduzi Member of the Regional Executive Council-Dodoma 2005 Todate Chama cha Mapinduzi Member of the District Executive Council-Mpwapwa 2000 Todate Ministry of Home Affairs Minister 2020 2025 Vice President's Office responsible for Union Affairs and Environment Minister 2019 2020 Budget Committee Chairman 2017 2019 Parliament of Tanzania Member of the Parliament 2020 2025
Na kwa manufaa ya wengi, wacha niambatanishe post yangu ya awali hapa...
In short, Simbachawene sio tu amelidhalilisha Jeshi la Polisi, bali Wizara ya Mambo ya Ndani na serikali kwa ujumla...
Ni mtu ambae ningetarajia asubuhi ya October 12 watu wajadili ama kutumbuliwa kwake au ku-resign kwake!! Katikati ya mjadala wa GPO, Simbachawene anatuambia kumbe serikali inaajiri watu wasio na uwezo kielimu na ndo maana wanashindwa kuifahamu hata GPO!
Interviw yake Dk45 imemuumbua kiuwezo na kifikra.Huyu mimi mara zote huwa namuona ni kiongozi mzuri sana na anayo nidhamu hasa ile ya 'kiuongozi', na anaheshimu sana watu anaowaongoza. Huyu tunatakiwa tuendelee naye mpaka 2025 halafu tutaona hapa katikati atakwendaje, kama kweli ana tatizo litadhihirika tu. Hata hivyo, mimi naona mambo mengine yanaweza kuwa ni mitego ya kisiasa tu, watu wengine hawajui kuseleleka maneno mdomoni lakini kazi wanafanya vizuri. Wengine wapo wana maneno mengi matamu utashangilia lakini kazi hamna
Watu wa kazi huwa siyo wazuri sana kwenye majukwaa ya mahojiano, na mara chache sana huwa wanapenda mahojiano. Huyu mtu mimi huwa namuona ni mtu wa kazi, siyo wa maneno na picha za kwenye TV.
Mama amesema tutakwenda kwa mtindo wa matendo makali, na si maneno makali. Simbachawene hana maneno makali. Kama hana maneo makali, je kuna anayeweza kuthibitisha pia kuwa hana matendo makali?
Tuwaombeeni viongozi wetu wamsaidie Mama vizuri, tusiwe kila wakati tunam-prompt Mama ili awabadilishe viongozi. Tuwaacheni wastabilize ili wafanye kazi vizuri, Mama aende nao wote kama walivyo muda huu mpaka hiyo 2025! Baada ya hapo sasa yeye mwenyewe atakuwa amejifunza mengi atafanya kama anavyoona inafaa.
Tusitake sana Mama awe anabadilisha badilisha viongozi, siyo afya sana kwetu sisi tunaoongozwa
Lakini Wizara amekuwa nayo kwa kipindi sasa na hatujawahi kusikia chochote cha ajabu. Kwa hiyo wewe unataka maneno makali badala ya matendo makali, si ndiyo?Interviw yake Dk45 imemuumbua kiuwezo na kifikra.
Sidhani kama yuko mentally equipped kuongoza wizara nyeti kama aliyonayo.
Sisiemu hoyeeeee...teh tehHajui kwamba sasahivi mifumo ya IT ndio inalinda maeneo mengi Mambo ya kutumia mabunduki kulinda bank Ni Mambo ya kizamani Sana.
Cyber security, CCTV na mifumo ya kisasa kabisa ya ulinzi ndio kusema Waziri wa Mambo ya ndani aelewi hili?
Ndio maana ukipita makao makuu ya wizara ya Mambo ya ndani unakuta Askari wamebeba mabunduki Sasa pale unalinda Nini baaba ya kuajiri wasomi mkafunga vifaa vya ulinzi .
Pumbavu kabisa!!
Hapo ndo pakuanzia.....Huyu jamaa degree ya Sheria bila kusoma Advance, Wala diploma ya Sheria? Alipataje?
Wale wakaguzi wa vyeti hawakumpitia naona si kwa CV hii.Hapo ndo pakuanzia.....
Mkuu kati ya mambo yanayoiumbua wizara ni hii kesi ya ugaidi ya Mbowe.Lakini Wizara amekuwa nayo kwa kipindi sasa na hatujawahi kusikia chochote cha ajabu. Kwa hiyo wewe unataka maneno makali badala ya matendo makali, si ndiyo?
Kuna mtu mmoja alikuwa na akili nyingi sana, akaulizwa swali na wanafunzi wake kwamba "mwalimu tufanye nini ili tuweze kuelewa na kuwa wazuri kiakili na kifikra kama ulivyo wewe"? Mwalimu alijibu swali akasema "attention, attention", which was the perfect answer ever ila ukiangalia kwa jicho jingine, the obcvious ni kwamba huyu mwalimu hakujibu swali kwa ufasaha na hivyo kwa akili ya juu juu tu, mtu anaweza kumuona mwalimu kuwa alifeli kujibu swali wakati siyo kweli
Twendeni kwa matendo makali, na si kwa maneno makali; Mama amesema hivyo!
Walimu wanafundisha kwa bidii ili wanafunzi washinde.
Wanafunzi wanasoma kwa bidii ili washinde.
Serikali inawekeza pesa ili wanafunzi washinde.
Hii ya kutaka ambao hawakufaulu vizuri imekaaje?
Kama ndivyo, shule za elimu ya juu tunafungua za nini?
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Hivi mkuu kosa la waziri ni kusema ukweli ama?Mbona Watanzania hatupendi ukweli lakini?Mkuu umeeleza haswa wasiwasi wangu. juu ya huyu waziri wetu.
Ni wazi qualifications zake juu ya uwaziri hazijafika kiwango.
Na mbaya zaidi anaongoza wizara inayohitaji mtu ambaye toka ujanani anatakiwa awe ametayarishwa na Taifa.
Mbona vijana kama hao wako wengi tu.
Jamaa hajapitia hata JKT, na anawekwa mahali nyeti, hiyo ni dhambi!
Sisi tukia JKT tulitayarishwa kwa majukumu yoyote kitaifa, uwe una Div 1 au uwe mkulima toka kijijini wa kuingia kwa kujitole.
Waswahili husema , mtu anapofungua mdomo, anafungua na mengi yanayomhusu, hatukujua kuwa Simbachawene hapo alipo yuk chini ya viwangoo vile vilivyotarajiwa.
Siyo GPO ni PGO.Na kwa manufaa ya wengi, wacha niambatanishe post yangu ya awali hapa...
In short, Simbachawene sio tu amelidhalilisha Jeshi la Polisi, bali Wizara ya Mambo ya Ndani na serikali kwa ujumla...
Ni mtu ambae ningetarajia asubuhi ya October 12 watu wajadili ama kutumbuliwa kwake au ku-resign kwake!! Katikati ya mjadala wa GPO, Simbachawene anatuambia kumbe serikali inaajiri watu wasio na uwezo kielimu na ndo maana wanashindwa kuifahamu hata GPO!
Mkuu unaandika kwa vile una haki hiyo, lakini wewe kama hao failures unaowasema, ambao mko sawa kifikra mnashindwa kuelewa kuwa ulinzi wa nchi hii huwezi kuwaachiayote hii ni kutokana na kukosa kazi, mnaanza kutamani mpaka na kazi za form four failure.
Inawezekana alilala late maana kwa Alvin hakuna jema π π π π π π π π π π π. Kuchelewa kulala na kazi nzito nzito kunachangia sana kupunguza uwezo wa kufikiri.Nikiwa kada wa siku nyingi niliyepitia JKT kwa mwaka mzima, nimesitushwa na majibu ya Mh Simbachawene katika ajira za wasomi Polisi.
Nimelazimika kupitia CV yake iliyo ukurasa wa Bunge, hakuna mahali anaonekana kapitia JKT.
HII NI HATARI!
Majibu aliyotoa leo kipindi cha Dk 45 yanaonyesha kabisa mtu asiye na ufahamu wa basics za ajira za wasomi, hasa Polisi.
Ati msomi wa Div 1 hawezi kulinda benki!!!!
Hivi Simbachawene anajua anaongea nini?
Sisi tuliosoma zamani, tena tulifaulu vizuri, kulinda sehemu nyeti ilikuwa sehemu ya kazi.
Leo kuna majenerali waliofaulu vizuri tu na kulinda sehemu nyeti, ni sehemu ya majukumu ya ulinzi.
Nitashangaa kama Simbachawene ataendelea kuwepo sehemu asiyostahili.
Profile
Hon. George Boniface Simbachawene
Member Type : Constituent Member
Constituent : Kibakwe
Political Party : CCM
Phone : +255755375623
P.O Box : P. O. Box 75112, Dar es Salaam
Email Address : g.simbachawene@bunge.go.tz
Date of Birth : 1968-07-05
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Arusha Technical College Full Technician Certificate 1989 1992 FTC University of Dodoma Masters in Public Administration 2010 2013 Masters Degree Open University of Tanzania LL.B 2000 2005 Bachelor Degree Mazengo Secondary School CSEE 1985 1988 Secondary School Pwaga Primary School - 1978 1982 Primary School Mahomanyika Primary School CPEE 1983 1984 Primary School
Employment History :
Company/Institution Position From To Ministry of Energy and Minerals Deputy Minister 2012 2013 Muzdalifah Charitable Dispensary Managing Director 2000 2001 Urafiki Bus Service-Dodoma Transport Officer 1995 2000 Future World Vocational Training Centre Teacher/Instructor 1997 1999 Ministry of Land Deputy Minister 2013 2014 Ministry of Energy and Minerals Minister 2014 2015
Political Experience :
Political Party Position From To President's Office Regional Administration and Local Government Minister 2015 2017 Chama cha Mapinduzi Member of District Political Committee 2002 Todate Local Authorities Accounts Committee of the Parliament Member of the Committee 2005 2010 Administration and Local Governments Committee Member 2015 2018 Subsidiary Legislation Committee Chairman 2010 2012 Constituent Assembly Member 2014 2014 Parliament of Tanzania Member of the Parliament 2005 2010 Parliament of Tanzania Member of the Parliament 2010 2015 Chama cha Mapinduzi Member of the National General Meeting 2005 Todate Parliament of Tanzania Member of the Parliament 2015 2020 Chama cha Mapinduzi Member of the Regional Executive Council-Dodoma 2005 Todate Chama cha Mapinduzi Member of the District Executive Council-Mpwapwa 2000 Todate Ministry of Home Affairs Minister 2020 2025 Vice President's Office responsible for Union Affairs and Environment Minister 2019 2020 Budget Committee Chairman 2017 2019 Parliament of Tanzania Member of the Parliament 2020 2025